Recent content by Brightly

  1. Brightly

    KERO Wahitimu wa Kozi ya Diploma in Pipe Works Oil an Gas Engineering wanapata changamoto katika Ajira Portal

    Sio za VETA tangazo la kazi ulilisoma vizurii lakini linahitajii uwe na diploma Sasa VETA wanatoa diploma??
  2. Brightly

    KERO Wahitimu wa Kozi ya Diploma in Pipe Works Oil an Gas Engineering wanapata changamoto katika Ajira Portal

    Ni sahihi kabisaa huagaa nashangaaa saana wanahitajii mtu aliyesoma diploma ya civil engineering wakatii waliosoma pipes,oil and gas nilikuaga nawaona pale arushaa tech ndio walikuwa wanachezea pipes kila siku na kufanya mambo yote ya plumbing yaanii kiufupii watu wa pipes,oil and gas wapo very...
  3. Brightly

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hata Mimi niliajiriwa mwezii wa Nane mwaka huu ila huo mwezii sikupata mshahara nikaja kupata wa Tisa (09),NB HR alinipa Check number baada ya kupata mshahara
  4. Brightly

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nipunguzie Mimi nipate mtaji mkuu
  5. Brightly

    Kupeleka ajira za ualimu Utumishi ni moja ya maamuzi ya ovyo yaliyowahi kufanywa na serikali

    Tamisemi siyo kazi Yao kufanyishaa watu interview,PSRS ndio taasisi ambayo imeundwa na serikali Kwa ajili ya lengo hilo
  6. Brightly

    Nimesoma Mpaka nimesahau afu Utumishi wamegoma kutoa pdf

    Endelea kusoma bila kuchoka ndugu mwl,Psrs unawajua vizurii unaweza kuwa na hamu ya kuitwa usaili kama hujajiandaa vizurii siku hiyo hiyo unakutana na NOT SELECTED FOR ORAL INTERVIEW halafu unaona wenzako wanaendelea na Oral
  7. Brightly

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kiukwelii mkuu hili jambo la kuweka matokeo ya Oral wazii kuonyesha kama mtu alifeli au alifaulu ingesaidia saana lkn mara zote ukiuliza Psrs wanadai kwamba ukiona kwamba umefaulu halafu upo database utaacha kufanya usailii halafu baadaye database iexpire hujapata nafasi utawalalamikia ndiyo...
  8. Brightly

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nafikiri wataziita baadaye mkuu,
  9. Brightly

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Unakuta wengine hawakufaulu Oral Mkuu na kwa Psrs hivyo ni vitu vinatokea Sana,mfano mwaka huu Kuna interview tulifanya ilikuwa inahitajii watu (7) tukapiga written, practical Hadi oral tukaingia watu 20 ila waliitwa kazini watu wawili(02) tuu,nafasi wakaongeza zingine wakarudia kuzitangaza upya...
  10. Brightly

    Unajua nini kuhusu mafanikio ya usaili wa kuandika kwa alama za juu ila unakosa kazi?

    Nikukumbushe tuu maksi ya written interview yanatumika tu kupunguza watu ndiyo maana wanaita Usaili wa mchujo kwa hiyo hata written ukipata 99% na mwingne akapata 50% mkiingia Oral interview wote mnaanza zero hizo maksi za written unakuta hazina msaada Tena,,,,
  11. Brightly

    Inawezekana tangazo la ajira likawa nafasi 5 ila kuitwa kazini idadi ikaongezeka?

    Ndio uwezekano huo upo na huaga inatokea kila mara!mifano ipo Mingii saana hata nikitaja siwezii kuimaliza
  12. Brightly

    Mshahara baada ya kuhitimu level 6 kwenye Civil Engineering Serikalini

    Mshahara unatofautiana mkuu kutegemea umeajiriwa taasisi gani ya serikali,mfano civil engineering level 6 halmashaurii ni Tgs C=580000,ukiajiriwa Tanroad ni 1M+,ukiajiriwa RUWASA=680000+ ,TRC,=680000,,,,Kiufupii kiwango kidogo ni 580000 na kiwango kikubwa ni 1.2M+ Tanapa
  13. Brightly

    Msaada juu upatikanaji wa ajira za wataalamu wa umeme ngazi zote

    Ushaurii unganisha bachelor degree wakatii huo ujisajili ajira Portal,wakatii unaendelea kusoma bachelor unaendelea kuhudhuria interview za utumishi naamini hata kabla hujamaliza bachelor utakuwa umeishapata KAZI serikalini ila usipotezee Muda wako kusemaa sijuii unatafutaa uzoefuu utakuwa...
Back
Top Bottom