Ni sahihi kabisaa huagaa nashangaaa saana wanahitajii mtu aliyesoma diploma ya civil engineering wakatii waliosoma pipes,oil and gas nilikuaga nawaona pale arushaa tech ndio walikuwa wanachezea pipes kila siku na kufanya mambo yote ya plumbing yaanii kiufupii watu wa pipes,oil and gas wapo very...
Hata Mimi niliajiriwa mwezii wa Nane mwaka huu ila huo mwezii sikupata mshahara nikaja kupata wa Tisa (09),NB HR alinipa Check number baada ya kupata mshahara
Endelea kusoma bila kuchoka ndugu mwl,Psrs unawajua vizurii unaweza kuwa na hamu ya kuitwa usaili kama hujajiandaa vizurii siku hiyo hiyo unakutana na NOT SELECTED FOR ORAL INTERVIEW halafu unaona wenzako wanaendelea na Oral
Kiukwelii mkuu hili jambo la kuweka matokeo ya Oral wazii kuonyesha kama mtu alifeli au alifaulu ingesaidia saana lkn mara zote ukiuliza Psrs wanadai kwamba ukiona kwamba umefaulu halafu upo database utaacha kufanya usailii halafu baadaye database iexpire hujapata nafasi utawalalamikia ndiyo...
Unakuta wengine hawakufaulu Oral Mkuu na kwa Psrs hivyo ni vitu vinatokea Sana,mfano mwaka huu Kuna interview tulifanya ilikuwa inahitajii watu (7) tukapiga written, practical Hadi oral tukaingia watu 20 ila waliitwa kazini watu wawili(02) tuu,nafasi wakaongeza zingine wakarudia kuzitangaza upya...
Nikukumbushe tuu maksi ya written interview yanatumika tu kupunguza watu ndiyo maana wanaita Usaili wa mchujo kwa hiyo hata written ukipata 99% na mwingne akapata 50% mkiingia Oral interview wote mnaanza zero hizo maksi za written unakuta hazina msaada Tena,,,,
Mshahara unatofautiana mkuu kutegemea umeajiriwa taasisi gani ya serikali,mfano civil engineering level 6 halmashaurii ni Tgs C=580000,ukiajiriwa Tanroad ni 1M+,ukiajiriwa RUWASA=680000+ ,TRC,=680000,,,,Kiufupii kiwango kidogo ni 580000 na kiwango kikubwa ni 1.2M+ Tanapa
Ushaurii unganisha bachelor degree wakatii huo ujisajili ajira Portal,wakatii unaendelea kusoma bachelor unaendelea kuhudhuria interview za utumishi naamini hata kabla hujamaliza bachelor utakuwa umeishapata KAZI serikalini
ila usipotezee Muda wako kusemaa sijuii unatafutaa uzoefuu utakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.