Recent content by Brightburn

  1. Brightburn

    JamiiForums Tanzania Unahitaji website? Pita hapa tafadhali.

    Pata website modern KAMA HII kwaajili ya biashara yako kwa Tsh 500,000 tu! Hii inajumuisha designing & coding, hosting, domain, SEO, business emails & security. Hii ni custom design kwahiyo hata kama una michoro yako mwenyewe hakuna shida tunaicode inatoka kama ilivyo. Pia zingatia kuwa cost...
  2. Brightburn

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mwekezaji wa Milioni 10+ Kwenye Crypto Trading. Mtaji Unakaa Kwenye Akaunti Yako (Self-Custody). Lengo: Hadi Tsh 500,000 kwa Siku

    Kupata faida ya Tsh 500K kwa mtaji wa Tsh 10M kwenye crypto kwa siku ni VERY POSSIBLE, kwasababu hiyo faida ni 5% tu ya huo mtaji. Mfano; ukifanya futures trading kwa uchambuzi mzuri kwa kutumia leverage ya 5x tu ambayo ni safe, sarafu ikipanda only 1% unapata faida yako ya 5% chap, ila SIO...
  3. Brightburn

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza kadi na website ya harusi yako

    Pole boss, tunamshukuru MUNGU tunazidi kukuwa!
  4. Brightburn

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza kadi na website ya harusi yako

    Utalipia advance ambayo ni 50%, then kiasi kilichobaki utalipia anytime ila iwe siku moja kabla ya shughuli yako ili ofisi icomfirm na kuandaa vijana wa kuja ukumbini kuscan.
  5. Brightburn

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza kadi na website ya harusi yako

    SHukran boss
  6. Brightburn

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza kadi na website ya harusi yako

    Sawa boss, shukran
  7. Brightburn

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza kadi na website ya harusi yako

    Tunapatikana Sinza na Kiluvya boss, karibu
  8. Brightburn

    JamiiForums Tanzania Karibu HD Events kwa shughuli yako.

    Una HARUSI, SEND-OFF, GRADUATION, KOMUNIO, KIPAIMARA, VIKAO, MICHANGO? Wasiliana nasi tukupatie kadi nzuri ya kidigitali itakayokuwa rahisi kusambaza kwa wageni wako wote na ya kipekee sana! Kwanini ununue kadi zetu? Timu yetu inafika ukumbini kwako ku-scan kadi. Tutatuma SMS za ukumbusho bure...
  9. Brightburn

    JamiiForums Tanzania Nahitaji developers watatu (3), mshahara laki 4 kwa mwezi

    Nilishawapata muda sana boss, ndo hawa tumeunda hii system ya mwanzo na mambo yanaedna poa tu. Wanapokea 400K + nauli + msosi.
  10. Brightburn

    JamiiForums Tanzania Nahitaji developers watatu (3), mshahara laki 4 kwa mwezi

    Karibu kwa huduma za Digital Cards kaka, mfumo huu upo tayari na tumeshafanya shughuli zaidi ya 10 na kuscan kadi zaidi ya 20K, mwezi wa 3-5 pia tuna shughuli 4 tayari tumeanza kuzi-manage. Iwe ni HARUSI, SEND-OFF, GRADUATION, CONCERT, BUSINESS MEETINGS, NK wasiliana nasi. Mfumo wetu utatuma...
  11. Brightburn

    JamiiForums Tanzania Ofa ya X-Banners msimu wa Christmas

    OFA ya msimu wa Christmas, jipatie X BANNER kutoka HAMIA DIGITAL utangaze biashara yako kisasa zaidi na kwa bei poa. Bango la X BANNER ni rahisi sana kuhamishika, ni kama unavyofungua na kufunga Mwavuli. ⚠️ BEI YA OFA ⚠️ 1PC: Tsh 80,000 2PCs: Tsh 75,000 / PC +3PCs: Tsh 70,000 / PC Size: 80cm x...
  12. Brightburn

    JamiiForums Tanzania Nje ya Posta kuna njia nyingine ya kuagiza bidhaa zifike mkoani ?

    Mbona rahisi tu boss! Mpe muuzaji address ya warehouse za silent ocean kisha mzigo wako utakuwa shipped dar, baada ya kufika hapa utatumiwa ujumbe na kupewa 7 days za kulipia cost ya usafirishaji uliyopewa wakati mzigo umepelekwa warehouse China, kisha tafuta local transporters waliopo dar...
  13. Brightburn

    JamiiForums Tanzania SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

  14. Brightburn

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza kadi na website ya harusi yako

    Karibu boss
  15. Brightburn

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza kadi na website ya harusi yako

    Ifanye harusi yako iwe ya kisasa zaidi kwa kuwa na website ya harusi ambayo itakuwa na picha za matukio yote yaliyofanyika ukumbini na utaweza kushare na marafiki, ndugu au familia yako. Utapata website hii kutoka HAMIA DIGITAL na hosting ya miezi 6 bure kabisa! Unachotakiwa kufanya ni kununua...
Back
Top Bottom