Recent content by bright2015

  1. bright2015

    Kashfa ya makontena yamuibua Ridhiwan Kikwete!

    Wamiliki na directors wa hayo makampuni watajwe
  2. bright2015

    Maeneo mazuri ya kupeleka watoto skukuu hii

    Majibu yanakatisha tamaa sikukuu watoto wanaenjoy sana kutoka mana wakutana na wenzao wengi wanacheza na kufurahi pamoja seheme ziko nyingi pesa yako tu beach na mahotel yote ya ufukweni ni sehemu nzuri ila jipange sio utoke mbgl uje mbz beach
  3. bright2015

    Majungu ya Kigwangalla kwa Dr. Mwaka sio jambo zuri

    Anaemsifia Mange hajui anachofanya huyo Mange ni looser full of stress alikua anapost vijinguo kwenye blog yake hata kkoo vipo ghafla kageuza blog ya majungu nakuchafua watu maisha yake yenyewe sidhani km yamekamilika angekomaa kutafuta future ya watoto anaozaa aache kupoteza muda na mambo ya...
  4. bright2015

    Majungu ya Kigwangalla kwa Dr. Mwaka sio jambo zuri

    Dr Mwaka angekomaa golini tu anaogopa nini kwani anawafuata wagonjwa nyumbani?
  5. bright2015

    Mbunge wa Ubungo, Mhe. Kubenea akamatwa kwa amri ya DC Makonda

    Ikiwezekana wananchi wananchi wamkatae
  6. bright2015

    Mbunge wa Ubungo, Mhe. Kubenea akamatwa kwa amri ya DC Makonda

    Wala busara haiihitaji degree Malezi mabovu anadhalilisha wazazi
  7. bright2015

    Mbunge wa Ubungo, Mhe. Kubenea akamatwa kwa amri ya DC Makonda

    Jamani mbona watu wako juu ya sheria?Ina maana walikosekana watu wenye busara na hekima kupewa ukuu wa wilaya?
  8. bright2015

    CRDB fungeni haraka tawi lenu la Burundi itakula kwenu

    Sio Burundi yote ina machafuko
  9. bright2015

    Fupi tamu ndefu inakera!!!

    Inaweza kua ndefu ya mbulula ila fupi ya mjanja 😜😜😜😜
  10. bright2015

    Naliona anguko la Diamond linakuja kwa kasi

    Nyimbo mpya kwanza imepoa sana labda aitenfenezee remix ukiangalia Zari kwenye ile video yupo tu hata huelewi mchango wake bora angekua anaonekana ana majibizano fulani any ways ni mawazo tu
Back
Top Bottom