Recent content by bright mponda

  1. bright mponda

    Nimedukua simu ya mke wangu, Simu zetu zina siri nzito, nakufa mimi

    Mm hiyo program ya udukuzi ninaihitaji ili nijifunze ukomavu
  2. bright mponda

    Kitu nilichojifunza katika mkutano wa Rais na Wahariri wa vyombo vya habari

    Huo muswada bora upite tu wamenichefua hao makanjanja Leo
  3. bright mponda

    Samweli Sitta ni Mgonjwa

    Wabongo hatupendani hata katika kipindi kigumu anachopitia mtu husika? Sasa ww unayemuombea mwenzio njaa utafikisha miaka 100 kwl?. Lakin all in all tembo hata akonde vipi hawezi kuwa sawa na sungura.
  4. bright mponda

    Je, Nafasi za kazi zimeshaanza kutolewa?

    Tunaendelea Na kula ugali Kwa maji chumvi hii ni until further notes.
  5. bright mponda

    Salesmen/Ladies Wanahitajika

    Duuuuh....sawa mkuu
  6. bright mponda

    Waraka wa ajira umetoka?

    Watakuwa wamefungua dirisha Kwa lengo la kuchungulia nje na kisha kulifunga tena.
  7. bright mponda

    Waraka wa ajira umetoka?

    Utaua watu humu ndg.
  8. bright mponda

    Ajira za serikalini kwa uhakika zitafunguliwa lini?

    Wangetuandaa kisaikolojia semester ya 1 mwaka wa 3 ingekuwa afadhari
  9. bright mponda

    Internship opportunities at Policy Forum(PF)

    Ngoja tujaribu maana elimu ya kitaa tu ni masters tayar tunasubir desatation tu.
  10. bright mponda

    Miaka mitatu sina kazi

    Huuu wimbo wa vijana tujiajiri tujiajiri ifikie mahali tuuimbe tukiwa tunajua hali halisi jamani mtu hana hata mia unamuambia akajiajiri how? Kula shida, kuvaa Na hata kulipa kodi shida sasa anajiajiri vipi huyu? Any way wakati mwingine bc tuwe tunatoa way forward kwamba anajiajiri vp Na sio...
  11. bright mponda

    Mwalimu wa tuition std 5 anahitajika

    Sawa sawa maticha tupo wengi sana cha msingi ujira tu ukiwa wa kuridhisha kaz itafanyika
Back
Top Bottom