Wabongo hatupendani hata katika kipindi kigumu anachopitia mtu husika? Sasa ww unayemuombea mwenzio njaa utafikisha miaka 100 kwl?. Lakin all in all tembo hata akonde vipi hawezi kuwa sawa na sungura.
Huuu wimbo wa vijana tujiajiri tujiajiri ifikie mahali tuuimbe tukiwa tunajua hali halisi jamani mtu hana hata mia unamuambia akajiajiri how? Kula shida, kuvaa Na hata kulipa kodi shida sasa anajiajiri vipi huyu? Any way wakati mwingine bc tuwe tunatoa way forward kwamba anajiajiri vp Na sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.