Mimi nafikiri ni sahihi kusema Tanesco Mikocheni, ndio watu walivyozoea kupaita. Kituo kinaitwa Chama, unapanda mabasi ya kawe. Muhimu utuambie mtu akishuka hapo anaelekea upande gani na hosp inaitwaje. Maana unatuacha tu hewani tukishika hapo hatujui tuelekee wapi.
Hata details walizosema wadau, hapo juu, ya mwaka gani, cc ngapi, odometer, etc. Wakati unaendelea kuhangaika na hyo attachment hizo info pia zinaweza kutupa mwanga
Regina nakumbuka alianzia kazi Radio Tumaini na huko alijulikana kama Regina Nazahed. Baadae alivyoolewa ndio akawa anatumia Regina Mwalekwa na sasa hivi sijajua kimetokea nini nasikia Regina Mziwanda. Sasa sijui la baba ake ni Nazahed au Mziwanda au yote 2.
Tatizo ni kuwa hausave unaporekodi hizo video hata mimi ilikuwa inanitokea maana nina simu kama yako. Ukiwa unarekodi video ukimaliza unapress stop, pembeni ya ile button ya stop upande wa kushoto kuna button ina square ukipress hiyo button ndio video inakuwa inajisave. Ukiangalia kwenye gallery...
Pole sana Millen, asikate tamaa suala la ndoa. Msingi wa ndoa ni upendo kati ya wawili, watoto ni zawadi toka kwa Mungu anaweza awape au asiwape. Kama walivyosema wengine kuna option ya kuadopt.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.