Doto Bulendu ulistahili tuzo

Doto Bulendu ulistahili tuzo

Dotto ni jembe wewee, product ya Mattaba, Dr.Mfumbusa, Late Nkwabi, Mkosamali, Dr.Aidan Msafir .....na wengine wengi sasa angalia hivo vichwa hapo juu vilivyo mpika jamaa, mwenyewe uta bro.

Mkuu Umenifurahisha Hadi Najisikia Sasa Kuwapigia Simu Kuwasalimia Hao Walimu Wangu Tajwa Hapo Juu Kwani Wote GENTAMYCINE Nimepitia Mikononi Mwao Na Namwomba Mwenyezi Mungu Ailaze Pema Na Mahala Peponi Roho Ya Marehemu Nkwabi Ng'wanakilala. Ila Sitakuwa Na Furaha Kama Sitamtaja Pia Na Aliyekuwa VC Wetu Kipindi Hicho Fr.Dr. Charles Kitima Kwani Ni Mweledi Aliyetukuka. Na Walimu Wangu Wengine Wote Wa SAUT Pokeeni Salamu Zangu Za Dhati Na Nawapenda Sana Na Nakipenda Kupita Maelezo Chuo Kikuu Cha Mtakatifu Augustine Na Wanafunzi Mliopo Hapo Mmefanya Maamuzi Sahihi Na Mnaotaka Kusoma Sasa Nawashaurini Changamkieni Haraka Na Upesi Fomu Za SAUT Kwani Zinagombaniwa Mno Na Nafasi Zimebaki Chache Sana.
 
Mkuu Umenifurahisha Hadi Najisikia Sasa Kuwapigia Simu Kuwasalimia Hao Walimu Wangu Tajwa Hapo Juu Kwani Wote GENTAMYCINE Nimepitia Mikononi Mwao Na Namwomba Mwenyezi Mungu Ailaze Pema Na Mahala Peponi Roho Ya Marehemu Nkwabi Ng'wanakilala. Ila Sitakuwa Na Furaha Kama Sitamtaja Pia Na Aliyekuwa VC Wetu Kipindi Hicho Fr.Dr. Charles Kitima Kwani Ni Mweledi Aliyetukuka. Na Walimu Wangu Wengine Wote Wa SAUT Pokeeni Salamu Zangu Za Dhati Na Nawapenda Sana Na Nakipenda Kupita Maelezo Chuo Kikuu Cha Mtakatifu Augustine Na Wanafunzi Mliopo Hapo Mmefanya Maamuzi Sahihi Na Mnaotaka Kusoma Sasa Nawashaurini Changamkieni Haraka Na Upesi Fomu Za SAUT Kwani Zinagombaniwa Mno Na Nafasi Zimebaki Chache Sana.

wewe ndugu, unashabikia University haina Professor hata mmoja? We kichaa kwelikweli!! Mtu anasoma 1st year had 3rd year hajui jata sura ya Dr alafu unakuja unaipamba hapa. Maktaba yenyewe ni kama haipo watu wanaishi kwa kupiga photocopy madesa. Nakuonya, wakitaja universities, usitaje SAUT maana utahaibika aisee!!
 
wewe ndugu, unashabikia University haina Professor hata mmoja? We kichaa kwelikweli!! Mtu anasoma 1st year had 3rd year hajui jata sura ya Dr alafu unakuja unaipamba hapa. Maktaba yenyewe ni kama haipo watu wanaishi kwa kupiga photocopy madesa. Nakuonya, wakitaja universities, usitaje SAUT maana utahaibika aisee!!

Ulichokiandika Hapa Ndiyo Umetudhihirishia Kuwa Wewe Mwenyezi Mungu Alikuumba Kwa Bahati Mbaya Hivyo Huna Tofauti Na MSUKULE!
 
Wa UDSM, MZUMBE, TUMAINI Na Kwingineko Hawafanyi Hivyo? Hata Dada Zako Tu Na Wao Wanashuti Picha Za Uchi Mbona Husemi? Huyo Huyo Nsia Swai Nimesoma Nae Darasa Moja BAMC 2006 - 2009 Na Kilichomtokea Dada Yetu Ni Bahati Mbaya Sana Kwani Zile Picha Alipigwa Na Boyfriend Wake Na Alipopeleka Simu Yake Kwa Fundi Simu Pale Mwanza Mjini Kwa Fundi Opposite Na Mwanza Hotel Ndipo Yule Fundi Akazinyonya Kisha Akaomba Mchezo Kwa Nsia Na Yeye Akamtolea Mbavuni Ndipo Huyo Fundi Akaamua Kumkomoa Na Kuzituma BAMAGA Kituoni Kwa Nyuma Ili Zianze Kutolewa Na Kumchafua Dada Yetu. Ninachofurahi Tu Ni Kwamba Hata Darasani Nsia Swai Alikuwa Very Brilliant Na Sasa Ni Mjasiriamali Mkubwa Tu Mwenye Kampuni Kubwa Hapa Tanzania Akishirikiana Na Mdogo Wake Na Inafanya Vizuri Kibiashara Na Sina Uhakika Kama Wewe Unayempiga Majungu Kama Una Hata Hela Ya Kula Usiku Huu Wa Leo. Utaishia Hivyo Hivyo Na Mawazo Yako Ya Kimasikini Na Chuki. Kwahiyo Hapo Suala Ni Nsia au SAUT? Nikiwadharau Mnalalamika.

Duh! Kumbe wewe ni classmate wangu pia. Heko kwa Bulendu nikimkumbuka kipinde kile pale SAUT radio kama meneja wa kituo, alitufunza mengi.
 
Duh! Kumbe wewe ni classmate wangu pia. Heko kwa Bulendu nikimkumbuka kipinde kile pale SAUT radio kama meneja wa kituo, alitufunza mengi.

Wakiwa Na Mtani Wangu Nancy Ktk Ile Redio Ya Chuo. Long Live SAUT Na Shikamooni Wana SAUT Wenzangu Wote Nchini Tanzania Na Nje Ya Tanzania Nawapenda Sana.
 
Duh! Kumbe wewe ni classmate wangu pia. Heko kwa Bulendu nikimkumbuka kipinde kile pale SAUT radio kama meneja wa kituo, alitufunza mengi.

Uliposema Hivi Umenifanya Nimkumbuke Sana Marehemu Silyvia Mwajonde Aliyetutoka Wiki Mbili Tu Kabla Hatuja Graduate Pale Lavoie ( Lavwaa ) Baada Ya Kujifungua Tu Mtoto Wake Na Kufariki Ghafla. Mwenyezi Mungu Ailaze Roho Ya Kipenzi Chetu Wana SAUT BAMC 2006 - 2009 Bila Kumsahau Na Marehemu Brian Mwanafunzi Mwenzetu Raia Wa Kenya Ambaye Nae Alifariki Tukiwa Mwaka Wetu Wa Mwisho.
 
Unamkumbuka bamc wale Mafundi wa mpira wa miguu miaka ile ya 2008?

Katika Hiyo Timu Ya BAMC Wa 2008 Kulikuwa Na Mchezaji Mmoja Ambaye Mimi NADIRIKI Kumfananisha Na Lionel Messi Aitwae Victor. Ebwana Huyu Dogo Alikuwa Na Kila Kitu Alichonacho Leo Messi. Ila Na Sisi BAMC 2009 Tulikuwa Na Fundi Wetu Aitwae Viera Na Ktk Timu Ya Chuo Ya SAUT Kiungo Wa Juu Akisimama Viera Na Wa Chini Akisimama Victor Huku Majukwaani Ni Burudani Tupu. Hao Majamaa Walikuwa Ni Mafundi Wa Mpira Na Cha Kushangaza Hata Darasani Napo Walikuwa Wanakimbiza Kwa Kufaulu Vizuri. Anayekuwa Wa Mwisho Darasani SAUT Ukimpeleka Ktk Vyuo Vingine Anakuwa Genius Wao. ATAKAYEBISHA SHAURI YAKE!!!!!!!
 
Uliposema Hivi Umenifanya Nimkumbuke Sana Marehemu Silyvia Mwajonde Aliyetutoka Wiki Mbili Tu Kabla Hatuja Graduate Pale Lavoie ( Lavwaa ) Baada Ya Kujifungua Tu Mtoto Wake Na Kufariki Ghafla. Mwenyezi Mungu Ailaze Roho Ya Kipenzi Chetu Wana SAUT BAMC 2006 - 2009 Bila Kumsahau Na Marehemu Brian Mwanafunzi Mwenzetu Raia Wa Kenya Ambaye Nae Alifariki Tukiwa Mwaka Wetu Wa Mwisho.
Bila shaka unamaanisha Sylvia Mwajombe, God rest her in peace!
 
HONGERA sana mwandishi wa habari Doto Bulendu kwa kutunikiwa tuzo ya mwandishi mahiri wa habari Tanzania kutoka MCT jana usiku
hakika huyu jamaa anajua na ni mfano kwa waandishi wa habari Tanzania

Jamaa namkubali sana, kipindi chake cha jumamosi 'jicho letu ndani ya habari' hakinipiti, ila aspokuwepo tu wengine hawakiwezi. Mfano leo alikuwepo Benard kilikuwa kimepoa nakaamua kujiondokea zangu. Hongera sana Dotto ulistahili hiyo tuzo
 
Wa UDSM, MZUMBE, TUMAINI Na Kwingineko Hawafanyi Hivyo? Hata Dada Zako Tu Na Wao Wanashuti Picha Za Uchi Mbona Husemi? Huyo Huyo Nsia Swai Nimesoma Nae Darasa Moja BAMC 2006 - 2009 Na Kilichomtokea Dada Yetu Ni Bahati Mbaya Sana Kwani Zile Picha Alipigwa Na Boyfriend Wake Na Alipopeleka Simu Yake Kwa Fundi Simu Pale Mwanza Mjini Kwa Fundi Opposite Na Mwanza Hotel Ndipo Yule Fundi Akazinyonya Kisha Akaomba Mchezo Kwa Nsia Na Yeye Akamtolea Mbavuni Ndipo Huyo Fundi Akaamua Kumkomoa Na Kuzituma BAMAGA Kituoni Kwa Nyuma Ili Zianze Kutolewa Na Kumchafua Dada Yetu. Ninachofurahi Tu Ni Kwamba Hata Darasani Nsia Swai Alikuwa Very Brilliant Na Sasa Ni Mjasiriamali Mkubwa Tu Mwenye Kampuni Kubwa Hapa Tanzania Akishirikiana Na Mdogo Wake Na Inafanya Vizuri Kibiashara Na Sina Uhakika Kama Wewe Unayempiga Majungu Kama Una Hata Hela Ya Kula Usiku Huu Wa Leo. Utaishia Hivyo Hivyo Na Mawazo Yako Ya Kimasikini Na Chuki. Kwahiyo Hapo Suala Ni Nsia au SAUT? Nikiwadharau Mnalalamika.

Maelezo meeengiii nilidhani utakuja na hoja..kumbe utumbo mtupu!!.
 
Katika Hiyo Timu Ya BAMC Wa 2008 Kulikuwa Na Mchezaji Mmoja Ambaye Mimi NADIRIKI Kumfananisha Na Lionel Messi Aitwae Victor. Ebwana Huyu Dogo Alikuwa Na Kila Kitu Alichonacho Leo Messi. Ila Na Sisi BAMC 2009 Tulikuwa Na Fundi Wetu Aitwae Viera Na Ktk Timu Ya Chuo Ya SAUT Kiungo Wa Juu Akisimama Viera Na Wa Chini Akisimama Victor Huku Majukwaani Ni Burudani Tupu. Hao Majamaa Walikuwa Ni Mafundi Wa Mpira Na Cha Kushangaza Hata Darasani Napo Walikuwa Wanakimbiza Kwa Kufaulu Vizuri. Anayekuwa Wa Mwisho Darasani SAUT Ukimpeleka Ktk Vyuo Vingine Anakuwa Genius Wao. ATAKAYEBISHA SHAURI YAKE!!!!!!!

Mlipokosa UDSM na MZUMBE Ndio mkakimbilia huko SAUT.huko mlipelekwa tu kwa kuwa uwezo wa kuingia UDSM na MZUMBE hamkua nao..hili hata baba yako analijua.
 
Kumbe Ndiyo Maana Hata Kipindi Leo Kilichelewa Kuanza Na Hata Kilipoanza Saa 2 Kamili Hakikuwa Na Mvuto Kama Akiwepo Mwenyewe Dotto Bulendu. Kuhusu Yeye Kupewa TUZO Hiyo Sina Mashaka Nayo Kwani Namfahamu Tokea Alipokuwa Amenitangulia Madarasa Mawili SAUT Kuwa Ni Mahiri Sana Na Mno Ktk Medani Ya Utangazaji Na Namwona Muda Si Mrefu Akielekea CNN au BBC au SKY News au DW au I24. Lakini Hata Hivyo HUWEZI KUSOMA CHUO KIKUU BORA KWA SASA NCHINI TANZANIA Cha SAUT Halafu Usiwe Competent. Hakuna Kama SAUT Nchini Tanzania Kwa Sasa Na Wewe Ambaye Hujapitia SAUT Hakika UMEKOSA Vingi Mno. I am Proud Of SAUT Na Nawapenda Sana Wahadhiri Wangu Wote Walionipika Na Wanaomalizia Kunipika Bongo Campus Na Nawaahidi Hata PhD Yangu Nitaifanyia Hapo Hapo SAUT Labda Nife Leo. Kaka Dotto Bulendu Hongera Sana Na Sisi Wana SAUT Wote Tumefurahi Na Tunakuombea Mafanikio Mengi Zaidi............. " We Build The City Of God ". Mtakaonuna PASUKENI!!!!!!!

Eti "hakuna kama SAUT"(huku unabana pua) mahaba yako kwa SAUT ni makubwa sana kijana,ila najua unajitibu kisaikolojia tu,coz naimani ulipata kuwa na malengo ya kusoma vyuo vikuu vya Tz like UDSM,MZUMBE,au SUA lakini marks zako hazikutosha,that's why ukaenda chuo tunachokiita KIMBILIO LA WALIOFELI,haiingii akilini kusimama then your just mentioning SAUT as the best,ni upuuzi tu......!,mkuu nafanya Kazi mahala fulani(among the most reputable institution ktk nchi yako hii) sijawahi iona product ya SAUT hapa,so funga hilo bakuri lako,na usichangie chochote ktk Uzi Huu tena,maana unakera!
 
Mkuu Umenifurahisha Hadi Najisikia Sasa Kuwapigia Simu Kuwasalimia Hao Walimu Wangu Tajwa Hapo Juu Kwani Wote GENTAMYCINE Nimepitia Mikononi Mwao Na Namwomba Mwenyezi Mungu Ailaze Pema Na Mahala Peponi Roho Ya Marehemu Nkwabi Ng'wanakilala. Ila Sitakuwa Na Furaha Kama Sitamtaja Pia Na Aliyekuwa VC Wetu Kipindi Hicho Fr.Dr. Charles Kitima Kwani Ni Mweledi Aliyetukuka. Na Walimu Wangu Wengine Wote Wa SAUT Pokeeni Salamu Zangu Za Dhati Na Nawapenda Sana Na Nakipenda Kupita Maelezo Chuo Kikuu Cha Mtakatifu Augustine Na Wanafunzi Mliopo Hapo Mmefanya Maamuzi Sahihi Na Mnaotaka Kusoma Sasa Nawashaurini Changamkieni Haraka Na Upesi Fomu Za SAUT Kwani Zinagombaniwa Mno Na Nafasi Zimebaki Chache Sana.

Huyu mimi cjamuelewa unatangaza chuo cha Saut!kati ya vyuo vinavyotoa wahitimu dhaifu ni saut,chuo kikuu cha sauti wanafunz wa shahada ya kwanza wanafundishana,kwan walimu wote ni tutorial assistant,walimu wa saut hawajui hata kuandaa zana za kufundishia.
 
Unapomzungumzia DOTTO Emmanuel BULENDU unazungumzia genius wa tasnia ya habari.....kama kwenye football basi ningempa Ballon dor kabisa maana ni zaidi ya Leo Messiah au yule tozi wa Madeira.
Hongera sana my brother.
 
Huyu mimi cjamuelewa unatangaza chuo cha Saut!kati ya vyuo vinavyotoa wahitimu dhaifu ni saut,chuo kikuu cha sauti wanafunz wa shahada ya kwanza wanafundishana,kwan walimu wote ni tutorial assistant,walimu wa saut hawajui hata kuandaa zana za kufundishia.

Anyway sitaki kuingilia mjadala wenu....but Mimi ninavyojua licha ya hayo matatizo uliyoyaorodhesha ambayo ni kweli tupu hususani miaka 7 iliyopita ebu jiulize hao unaowaita DHAIFU utendaji wao wa kazi upo vipi? Kama Kilaza ni kilaza tu hata ungefundishwa na Professors kuanzia chekechea
 
Maelezo meeengiii nilidhani utakuja na hoja..kumbe utumbo mtupu!!.

ID Yako Naomba Ndiyo Iwe Jibu Langu Kwako La Kukujibu Kwani Nahisi Upeo Wangu Na Wako Ni Mbingu Na Dunia. Tangia Lini Messi Akashindana au Akajibizana Na Ngassa? Namaanisha Kuwa Mimi Ni Lionel Messi Na Wewe Ni Mrisho Ngassa! Ila Siyo Mbaya Umeshapata KIKI Tayari Na Leo Utapata Likes Nyingi Tu.
 
Back
Top Bottom