Recent content by Brice85

  1. Brice85

    JamiiForums Tanzania Polepole Usirudi Nchini, mpaka Mama yao aondoke! Shambulio ulilolifanya, hawana namna ya kucounterattack

    Umenilamisha kucheka na nimecheka sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  2. Brice85

    JamiiForums Tanzania Hii ina maana gani, kwanini ulie wakati umetangaza mwenyewe kujivua uanachama

    Hii ni biashara ya usaliti, anaouza usaliti analenga wateja waje wasaliti na hao wateja wasaliti wanategemea kuungwa mkono na wapenda usaliti ili waweze kutumia usaliti huo kwa manufaa yao binafsi. Sasa zao la usaliti huzaa usaliti na usaliti huleta kifo au aibu kubwa. Kila nwenye akili analijua...
  3. Brice85

    JamiiForums Tanzania Wakuu hawa FIC ni mchongo au ni Ponzi (utafiti wangu mdogo)

    Tayari F.I.C wamesepa wau wanalia
  4. Brice85

    JamiiForums Tanzania Mazoezi ya nusu saa yahairisha mechi ya Simba vs Yanga

    Kukiwa na makosa basi yasemwe lkn tukisimamia ushabiki basi sote tunadidimiza tasnia ya michezo hususani mpira wa miguu kwa kupitia usimba na uyanga. Mleta mada eneo kubwa kaonesha ushabiki wa klabu yake ya yanga hivyo watu wengine kuona hakuna haja ya kutilia maanani wazo lake. Kwa kweli kwa...
  5. Brice85

    JamiiForums Tanzania LBL: Pyramid Scheme Inayowatapeli Watu kwa Kisingizio cha Uwekezaji

    Kuna watu kadhaa wanasema humu wamejiunga wapige faida wakae pembeni, ata miamba wakisepa na mshiko wao watakuwa hawana hasara..(wamepiga faida) Nataka niulize kumuunga mtu napo kuna faida kwa mtu aliemleta? Kwa nini nimeuliza hivyo? Kwa sababu woote waliojiunga huko wako bize kupost na...
  6. Brice85

    JamiiForums Tanzania LBL: Pyramid Scheme Inayowatapeli Watu kwa Kisingizio cha Uwekezaji

    Hawa jamaa wanashawishi kinoma noma. Wakiweka status zao utaona miamala mpaka unasema hawa jamaa wanajenga ghorofa kesho tu. Lkn kwa namna wanavyokushawishi unagundua hawa jamaa masikini kuliko hata wewe. Mfano: ulishakutana na wale njemba wa QNET, wanakuonesha mafanikio waliopata kwenye picha...
  7. Brice85

    JamiiForums Tanzania Mungu aliona wapi mfano wa ulimwengu ndiyo akauumba hivi?

    Nimejaribu kifikiria kwa kawaida nimegundua kuna vitu binadamu hatuko sahihi katika Imani zetu. Mleta mada ameanza kwa kusema Mungu aliona wapi mfano au alitoa wapi ramani? Kwangu mimi makosa ya mleta mada ni :- 1. kaiufunga mada yake kwa kuwa kabaki kwenye Imani ya Huyo Mungu na hivyo Mungu...
  8. Brice85

    JamiiForums Tanzania Adhalilishwa kwenye ziara ya Makonda, aambiwa "Usiongee na mimi hivyo, nina mke mzuri"

    Maneno yako ya jumla sana. Lakini upo sahihi kwa uelewa wako, lakini tambua kuna sheria na majukumu juu ya kila mtumishi awe wa Umma au binafsi. Kwani wewe ulitaka mlinzi wa hospitali atimize vipi majukumu yake kama sio kwa kuwnza kwa kukuhoji?
  9. Brice85

    JamiiForums Tanzania WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

    Hii nchi ngumu sana hasa kuongoza watu wenye akili kama zako watu wasiojali ukweli wanaotafuta sababu ili kutenganisha watu.. Watatumia udini na sababu nyingi kwa manufaa yao kwa ufupi wewe ni mbinafsi usiotaka wengi wawe mbele.
  10. Brice85

    JamiiForums Tanzania Nay wa Mitengo, laana ya baba yake na mihemko ya kisiasa ina mvuruga kichwa

    Umejitahidi kuandika japo na wewe unamihemko kama huyo uliesema anamihemko. Napinga maneno yakobkwenye maandishi haya isipokuwa ya ELIMU BULE PEKEE. Kuhusu usanii wa neyi wewe mwenyewe umeanza kwa kusema sio msanii lkn baadae ukasema ni msanii, soma maandishi yako mwenyewe. Kuhusu kutumika na...
  11. Brice85

    JamiiForums Tanzania Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

    Kwamba mpaka awe msemaji na sio mwana habari mwabarishaji ya kinachoendelea? Hili nj tatizo letu kubwa "ushabiki" kilizwa kwani wewe ni mtu wa huko na unayokea wapi? Ukrein au urusi sijui utajibuje? Kazi yetu kubwa ni kufanya analysis kulingana na ufuatiaji wetu wa taarifa na sio ukanda wala...
  12. Brice85

    JamiiForums Tanzania Msimu wa Mateso kwa Watumishi: Halmashauri zimeanza kuwatishia Walimu na watumishi wengine kutoa mchango wa Mwenge, 2023

    Tafadhari sana Kiongozi kwa heshima ya kutosha nikupayo naomba uwaombe radhi walimu wate wa Tanzania kwa kauli yako hapo juu. binafsi naona umepitiliza sana katika uhuru wako wa kutoa maoni kikatiba lakini pia unajinasibu vipi wewe ni msomi na mwerevu katika mambo mengi kama unamdharau Mwalimu...
  13. Brice85

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Uonevu uliokithiri Idara ya Elimu Manispaa ya Moshi

    Aisee wewe unamjua mtu anaetumia madaraka yake vema kujinufaisha? Acha bhana huo ujasiri wa kumdogelea aisee Hebu siku moja jaribu kumfata mtu wa juu yako kumuonya na uone kitakacho kutokea [emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]
Back
Top Bottom