Recent content by BRELA

  1. BRELA

    JamiiForums Tanzania BRELA yaibua fursa mpya ulinzi wa Alama za Biashara kwa wajasiriamali

    Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imewataka wajasiriamali wanaoshiriki Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutumia fursa ya uwepo wa BRELA kwenye maonesho hayo kwa kupata huduma za sajili na leseni ili kujiendesha kwa mujibu wa sheria na kuepuka...
  2. BRELA

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaitaka WIPO kuweka Mfumo Jumuishi wa Akili Unde (AI) kwa Nchi zinazoendelea

    Tanzania imelitaka Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (WIPO) kujenga mfumo wa kimataifa wa Miliki Ubunifu unaowezesha nchi zinazoendelea kunufaika na maendeleo ya Akili Unde(Artificial Intelligence–AI), huku ikisisitiza umuhimu wa kuhamasisha matumizi ya teknolojia na kujengea watu uwezo...
  3. BRELA

    JamiiForums Tanzania Watumishi BRELA wapatiwa mafunzo ya Afya kazini

    Watumishi wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) wamepatiwa mafunzo kuhusu magonjwa sugu yasiyoambukiza mahala pa kazi pamoja na afya ya akili, leo tarehe 4 Julai, 2026 katika Ukumbi wa Hazina jijini Dar es Salaam. Mafunzo hayo yameambatana na zoezi la upimaji wa afya kwa watumishi...
  4. BRELA

    JamiiForums Tanzania KERO Responded BRELA na Mfumo wa Beneficial Ownership kutokutoa Control Numbers

    Tunaomba kufahamu umekutana na changamoto gani kwa ajili ya maelezo zaidi.
  5. BRELA

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Mfumo mpya wa BRELA (BOS) una changamoto

    Habari, tunaomba kufahamu ni taarifa zako zipi ambazo hazijahama kwenye akaunti ya muhusika ambaye ni sahihi kwa ajili ya msaada na maelezo zaidi.
  6. BRELA

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Mfumo mpya wa BRELA (BOS) una changamoto

    Habari, Habari, tunaomba namba za maombi husika ambayo bado hujatumiwa majibu yako kwa ajili ya msaada zaidi.
  7. BRELA

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Mfumo mpya wa BRELA (BOS) una changamoto

    Habari, tunaomba kufahamu changamoto uliyokutana nayo kwa ajili ya msaada zaidi.
  8. BRELA

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Mfumo mpya wa BRELA (BOS) una changamoto

    Habari, mfumo wetu ulioboreshwa wa BOS upo sawa, kwa ujumbe wa an unexpected error occurred. Please try again hutokana na kutoa majibu tofauti wakati wa kujibu maswali kutoka NIDA kama muhusika alivyojaza taarifa zake NIDA, tunashauri muhusika atumie njia ya OTP kwa kujaza namba yake ya simu...
  9. BRELA

    JamiiForums Tanzania KERO Responded BRELA na Mfumo wa Beneficial Ownership kutokutoa Control Numbers

    MlimaSayuni, Habari, tunaomba kufahamu changamoto uliyokutana nayo katika mfumo wetu kwa ajili ya msaada zaidi.
  10. BRELA

    JamiiForums Tanzania Responded Ukienda BRELA bila kucheza na Mawakala wakati wa kusajili Kampuni, Biashara... n.k HUTOBOI

    Habari, BRELA hufanyiwa kazi maombi yote kwa wakati, tunaomba namba ya ombi lako ambalo bado hujapokea majibu yako kwa wakati kwa ajili ya msaada zaidi.
  11. BRELA

    JamiiForums Tanzania KERO Responded BRELA na Mfumo wa Beneficial Ownership kutokutoa Control Numbers

    Habari, pole kwa changamoto uliyokutana nayo, watoa huduma wetu walikua wanahudumia wateja wengine, Mmiliki manufaa (beneficial owner) ni mtu ambaye anamiliki moja kwa moja au kupitia mtu mwingine asilimia 5% au zaidi ya uwekezaji au ufanyaji maamuzi kwenye kampuni. Tunaomba tutumie namba ya...
  12. BRELA

    JamiiForums Tanzania BRELA mfumo wenu una shida gani?

    Habari, pole kwa changamoto uliyokutana nayo, watoa huduma wetu walikua wanahudumia wateja wengine, tunaomba kufahamu changamoto uliyokutana nayo kwa ajili ya msaada zaidi. Technical Support 0735331000 0222212800
  13. BRELA

    JamiiForums Tanzania Responded Ukienda BRELA bila kucheza na Mawakala wakati wa kusajili Kampuni, Biashara... n.k HUTOBOI

    Habari, BRELA haina Wakala kwa ajili ya huduma ya usajili wa kampuni, huduma ya kusajili kampuni hutolewa moja kwa moja kwa njia ya mtandao kupitia bos.brela.go.tz, malipo ya huduma za BRELA hufanyika kupitia kumbukumbu namba ya malipo (control number) inayotolewa na mfumo wa malipo ya Serikali...
  14. BRELA

    JamiiForums Tanzania Responded Kwanini TRA wanaomba nyaraka ambazo tayari ulishazitoa BRELA wakati unafungua kampuni?

    Gharama ya usajili wa kampuni hutegemeana na mtaji wa kampuni husika, tembelea katika tovuti yetu ya www.brela.go.tz kuona gharama za usajili wa kampuni pamoja na aina za kampuni na kupata taarifa zaidi.
Back
Top Bottom