Recent content by BRELA

  1. BRELA

    JamiiForums Tanzania KERO Kwanini TRA wanaomba nyaraka ambazo tayari ulishazitoa BRELA wakati unafungua kampuni?

    Gharama ya usajili wa kampuni hutegemeana na mtaji wa kampuni husika, tembelea katika tovuti yetu ya www.brela.go.tz kuona gharama za usajili wa kampuni pamoja na aina za kampuni na kupata taarifa zaidi.
  2. BRELA

    JamiiForums Tanzania KERO Kwanini TRA wanaomba nyaraka ambazo tayari ulishazitoa BRELA wakati unafungua kampuni?

    Usajili wa kampuni unafanyika moja kwa moja kwa njia ya mtandao kupitia BRELA ORS au http://www.brela.go.tz, unatakiwa kuwa na:- 1.Katiba ya kampuni (Memorandum and Articles of association) 2.Namba ya kitambulisho cha taifa (NIN) kwa wahusika ambao ni watanzania kwa wahusika ambao sio watanzania...
  3. BRELA

    JamiiForums Tanzania KERO Kwanini TRA wanaomba nyaraka ambazo tayari ulishazitoa BRELA wakati unafungua kampuni?

    Habari, zoezi la kufungua kampuni ni rahisi na ufanyika kwa njia ya mtandao kupitia mfumo wetu wa ors.brela.go.tz, pindi unapojaza taarifa za usajili wa kampuni yako na kukutana na changamoto usisite kuwasiliana nasi kupitia namba yetu ya kituo cha miito BRELA 0222212800 kwa msaada zaidi.
  4. BRELA

    JamiiForums Tanzania Responded Wateja wanaporipoti matatizo ya kimfumo BRELA wahudumu wanawaunga na idara ya IT lakini simu hizo hazipokelewi

    Habari, tumepokea maoni yako kwaajili ya kuboresha huduma zetu.
  5. BRELA

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Mfumo wa BRELA ni mbovu, Mnachochea uhujumu uchumi

    Habari, tunaomba kufahamu changamoto ambayo umekutana nayo katika mfumo wetu kwaajili ya msaada zaidi.
  6. BRELA

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Mfumo wa BRELA ni mbovu, Mnachochea uhujumu uchumi

    Habari, tunaomba kufahamu changamoto ambayo umekutana nayo katika mfumo wetu kwaajili ya msaada zaidi.
  7. BRELA

    JamiiForums Tanzania KERO Responded BRELA boresheni Mifumo yenu, kila ikifika jioni Mfumo wa Kusajili Kampuni unasumbua mara haufunguki

    Pole kwa changamoto uliyokutana nayo, tafadhali pakua kiambata kwa maelezo zaidi.
  8. BRELA

    JamiiForums Tanzania Responded Wateja wanaporipoti matatizo ya kimfumo BRELA wahudumu wanawaunga na idara ya IT lakini simu hizo hazipokelewi

    Pole kwa changamoto uliyokutana nayo, tumepokea maoni yako kwaajili ya kuboresha zaidi huduma zetu.
  9. BRELA

    JamiiForums Tanzania Responded Wateja wanaporipoti matatizo ya kimfumo BRELA wahudumu wanawaunga na idara ya IT lakini simu hizo hazipokelewi

    Habari, pole kwa changamoto uliyokutana nayo, watoa huduma wetu katika kitengo cha TEHAMA walikua wanahudumia wateja wengine, tunaomba kufahamu changamoto uliyokutana nayo katika mfumo wetu kwaajili ya msaada zaidi.
  10. BRELA

    JamiiForums Tanzania Naomba kuelimishwa kuhusu "Holding Company" na "Subsidiary company"

    Companies Act, Cap 212
  11. BRELA

    JamiiForums Tanzania Naomba kuelimishwa kuhusu "Holding Company" na "Subsidiary company"

    Habari, unatakiwa kutengeneza akaunti yako ya BRELA ORS kisha andika barua ya maombi kuja BRELA kwaajili ya kuomba akaunti yako kuwezeshwa (access) kwaajili ya kufanya maombi ambayo unahitaji katika mfumo wetu.
  12. BRELA

    JamiiForums Tanzania Msaada kutoka Brela

    Habari, pole kwa changamoto uliyokutana nayo, tunaomba tutumie namba ya kampuni yako pamoja na jina la kampuni husika kwa njia ya ujumbe (DM) kwaajili ya msaada zaidi.
  13. BRELA

    JamiiForums Tanzania BRELA, ifanyeni tovuti yenu kuwa rafiki kwa watumiaji (user friendly)

    Pole kwa changamoto uliyokutana nayo, tunaomba namba ya ombi lako (tracking number) kwaajili ya msaada zaidi.
  14. BRELA

    JamiiForums Tanzania BRELA, ifanyeni tovuti yenu kuwa rafiki kwa watumiaji (user friendly)

    Habari, katika usajili wa jina la biashara (business name) shughuli mwisho ni nne, ndio unaweza kusajili kampuni mpya BRELA kwa kutumia jina la biashara yako ambalo tayari limesajili BRELA, utatakiwa kufunga jina la biashara husika (ceasation of business name) kisha utaendelea na usajili wa kampuni.
Back
Top Bottom