Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imewataka wajasiriamali wanaoshiriki Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutumia fursa ya uwepo wa BRELA kwenye maonesho hayo kwa kupata huduma za sajili na leseni ili kujiendesha kwa mujibu wa sheria na kuepuka...
Tanzania imelitaka Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (WIPO) kujenga mfumo wa kimataifa wa Miliki Ubunifu unaowezesha nchi zinazoendelea kunufaika na maendeleo ya Akili Unde(Artificial Intelligence–AI), huku ikisisitiza umuhimu wa kuhamasisha matumizi ya teknolojia na kujengea watu uwezo...
Watumishi wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) wamepatiwa mafunzo kuhusu magonjwa sugu yasiyoambukiza mahala pa kazi pamoja na afya ya akili, leo tarehe 4 Julai, 2026 katika Ukumbi wa Hazina jijini Dar es Salaam. Mafunzo hayo yameambatana na zoezi la upimaji wa afya kwa watumishi...
Habari, mfumo wetu ulioboreshwa wa BOS upo sawa, kwa ujumbe wa an unexpected error occurred. Please try again hutokana na kutoa majibu tofauti wakati wa kujibu maswali kutoka NIDA kama muhusika alivyojaza taarifa zake NIDA, tunashauri muhusika atumie njia ya OTP kwa kujaza namba yake ya simu...
Habari, BRELA hufanyiwa kazi maombi yote kwa wakati, tunaomba namba ya ombi lako ambalo bado hujapokea majibu yako kwa wakati kwa ajili ya msaada zaidi.
Habari, pole kwa changamoto uliyokutana nayo, watoa huduma wetu walikua wanahudumia wateja wengine, Mmiliki manufaa (beneficial owner) ni mtu ambaye anamiliki moja kwa moja au kupitia mtu mwingine asilimia 5% au zaidi ya uwekezaji au ufanyaji maamuzi kwenye kampuni.
Tunaomba tutumie namba ya...
Habari, pole kwa changamoto uliyokutana nayo, watoa huduma wetu walikua wanahudumia wateja wengine, tunaomba kufahamu changamoto uliyokutana nayo kwa ajili ya msaada zaidi.
Technical Support
0735331000
0222212800
Habari, BRELA haina Wakala kwa ajili ya huduma ya usajili wa kampuni, huduma ya kusajili kampuni hutolewa moja kwa moja kwa njia ya mtandao kupitia bos.brela.go.tz, malipo ya huduma za BRELA hufanyika kupitia kumbukumbu namba ya malipo (control number) inayotolewa na mfumo wa malipo ya Serikali...
Gharama ya usajili wa kampuni hutegemeana na mtaji wa kampuni husika, tembelea katika tovuti yetu ya www.brela.go.tz kuona gharama za usajili wa kampuni pamoja na aina za kampuni na kupata taarifa zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.