Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umewahimiza wabunifu nchini kusajili kazi zao ili kuzilinda kisheria, Wakala imeeleza kuwa usajili huo utawasaidia wabunifu kuzipa thamani kazi zao na kufungua fursa mpya za kibiashara na kiuchumi.
Hayo yamebainishwa na Msajili Msaidizi Mwandamizi...
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wizara kwa BRELA, Prof. Neema Mori amewasisitiza Maafisa Biashara Nchini kuwa wawezeshaji wa wafanyabiashara badala ya kuwa wadhibiti ili kufanikisha Dira ya Taifa 2050.
Profesa Mori ameyasema hayo leo tarehe 18 Agosti 2026 akimwakilisha Katibu Mkuu wa Wizara ya...
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) inapenda kuwataarifu Watanzania kuwa Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (the World Intellectual Property Organization - WIPO) limetangaza nafasi ya kazi ifuatayo:-
Nafasi:Mtunza Kumbukumbu Msaidizi (Assistant Archives Officer)...
Hujambo! na Karibu, video hii itakufundisha Jinsi ya kutumia huduma ya usajili wa Jina la Biashara kwenye mfumo wa BOS.
Baada ya kuingia kwenye mfumo, utabofya sehemu iliyoandikwa Business Names na ukurasa ukifunguka utaona huduma zinapatikana kama vile
Bussiness Names – Hapa utaweza...
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) inapenda kuwakumbusha Wamiliki, Wakurugenzi na Makatibu wa Kampuni kuwa huduma ya uwasilishaji wa taarifa ya Mizania ya mwaka na hesabu za Kampuni (Annual returns and Audited Annual Accounts) zinatakiwa kuwasilishwa kwa msajili wa kampuni kama...
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) inapenda kuwataarifu wadau wote na umma kwa ujumla kuwa huduma zote za utoaji wa Leseni za Biashara Kundi “A”, ambazo awali zilikuwa zinapatikana kupitia mfumo wa Tanzania National Business Portal (TNBP), sasa zinapatikana kupitia mfumo wa BRELA...
Habari, hakuna changamoto upande wa kutuma barua pepe yenye LINK kwa wateja wetu baada ya kufungua akaunti kupitia mfumo wa BOS utapokea taarifa katika kisanduku pokezi (inbox) endapo hutaona ujumbe angalia taarifa upande wa SPAM ndani ya barua pepe yako. Kwa usaidizi wa haraka wasiliana nasi...
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), inapenda kuzitaarifu Kampuni,Taasisi za Kifedha, Ofisi za Wanasheria na wadau wote kuwa huduma za uwasilishaji wa usajili wa haki ya dhamana kwenye mali za kampuni (Charges) sasa zinafanyika kupitia mfumo ulioboreshwa wa BRELA Online Service...
Mfumo huu umeboreshwa ili kukuwezesha kupata huduma za usajili wa biashara kwa urahisi, haraka na kwa njia ya kidijitali popote ulipo.
Ili kuanza kutumia mfumo na kuwasilisha maombi ya huduma, fuata hatua zifuatazo:
Hatua ya Kwanza: Kuingia kwenye Mfumo
Tembelea tovuti ya BRELA kupitia...
Habari, pole kwa changamoto uliyokutana nayo, tunaomba namba ya ombi lako la usajili wa kampuni ambalo bado hujapokea majibu yako kwa ajili ya msaada zaidi.
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni BRELA leo tarehe 13 Julai, 2026 imetunukiwa tuzo ya kuwa Taasisi Bora kwa kuwezesha biashara kwenye Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam (Sabasaba).
BRELA imekabidhiwa tuzo hiyo mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la...
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imewataka wajasiriamali wanaoshiriki Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutumia fursa ya uwepo wa BRELA kwenye maonesho hayo kwa kupata huduma za sajili na leseni ili kujiendesha kwa mujibu wa sheria na kuepuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.