Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), inapenda kuutaarifu Umma kuwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimefungua rasmi dirisha la maombi ya udahili wa masomo ya Shahada ya Uzamili ya Miliki Ubunifu (Master of Intellectual Property - MIP) kwa Mwaka wa Masomo 2026/2027.
Programu hii...
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) inautangazia Umma kuhusu fursa tano (5) za ufadhili wa masomo kwa Watanzania kwa ajili ya masomo ya Shahada ya Uzamili ya Miliki Ubunifu (Master of Intellectual Property – MIP) kwa mwaka wa masomo 2026/2027.
Programu hii ya Shahada ya Uzamili ya...
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) kupitia kikao cha ufuatiliaji na uendelezaji wa bunifu za wabunifu vijana kilichofanyika leo tarehe 27 Agosti 2026 Jijini Dodoma, imesisitiza kuwa ni muhimu kulinda haki za Miliki Ubunifu ili ziendelee kutumika kama nguzo kuu itakayoinua uchumi wa...
Habari! na Karibu, Kupitia video hii leo nitakujuza jinsi ya kuomba Leseni/Cheti cha Usajili wa Kiwanda kwenye mfumo wa BOS.
Baada ya kuingia kwenye mfumo bofya sehemu iliyoandikwa Industrial Licence na ukurasa ukifunguka utabofya sehemu iliyoandikwa Apply New Licence/Certificate na baada ya...
Habari! na Karibu, Leo kupitia video hii utajifunza Jinsi ya kutumia huduma ya usajili wa kampuni kwenye mfumo wa BOS unapotaka kufungua kampuni yako.
Baada ya kuingia kwenye mfumo utabofya sehemu ya Company Services, ukurasa ukifunguka utapata ordha ya huduma mbalimbali katika moduli ya...
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) kwa kushirikiana na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kupitia Dar Teknohama Business Incubator (DTBi) na Buni Innovation Hub, imezindua rasmi Programu ya InnoIP kwa lengo la kuimarisha mfumo wa ubunifu nchini Tanzania. Programu hiyo...
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umewahimiza wabunifu nchini kusajili kazi zao ili kuzilinda kisheria, Wakala imeeleza kuwa usajili huo utawasaidia wabunifu kuzipa thamani kazi zao na kufungua fursa mpya za kibiashara na kiuchumi.
Hayo yamebainishwa na Msajili Msaidizi Mwandamizi...
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wizara kwa BRELA, Prof. Neema Mori amewasisitiza Maafisa Biashara Nchini kuwa wawezeshaji wa wafanyabiashara badala ya kuwa wadhibiti ili kufanikisha Dira ya Taifa 2050.
Profesa Mori ameyasema hayo leo tarehe 18 Agosti 2026 akimwakilisha Katibu Mkuu wa Wizara ya...
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) inapenda kuwataarifu Watanzania kuwa Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (the World Intellectual Property Organization - WIPO) limetangaza nafasi ya kazi ifuatayo:-
Nafasi:Mtunza Kumbukumbu Msaidizi (Assistant Archives Officer)...
Hujambo! na Karibu, video hii itakufundisha Jinsi ya kutumia huduma ya usajili wa Jina la Biashara kwenye mfumo wa BOS.
Baada ya kuingia kwenye mfumo, utabofya sehemu iliyoandikwa Business Names na ukurasa ukifunguka utaona huduma zinapatikana kama vile
Bussiness Names – Hapa utaweza...
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) inapenda kuwakumbusha Wamiliki, Wakurugenzi na Makatibu wa Kampuni kuwa huduma ya uwasilishaji wa taarifa ya Mizania ya mwaka na hesabu za Kampuni (Annual returns and Audited Annual Accounts) zinatakiwa kuwasilishwa kwa msajili wa kampuni kama...
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) inapenda kuwataarifu wadau wote na umma kwa ujumla kuwa huduma zote za utoaji wa Leseni za Biashara Kundi “A”, ambazo awali zilikuwa zinapatikana kupitia mfumo wa Tanzania National Business Portal (TNBP), sasa zinapatikana kupitia mfumo wa BRELA...
Habari, hakuna changamoto upande wa kutuma barua pepe yenye LINK kwa wateja wetu baada ya kufungua akaunti kupitia mfumo wa BOS utapokea taarifa katika kisanduku pokezi (inbox) endapo hutaona ujumbe angalia taarifa upande wa SPAM ndani ya barua pepe yako. Kwa usaidizi wa haraka wasiliana nasi...
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), inapenda kuzitaarifu Kampuni,Taasisi za Kifedha, Ofisi za Wanasheria na wadau wote kuwa huduma za uwasilishaji wa usajili wa haki ya dhamana kwenye mali za kampuni (Charges) sasa zinafanyika kupitia mfumo ulioboreshwa wa BRELA Online Service...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.