Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 890
- 2,419
BRELA imekuwa mwiba kwa sasa, hawatoi huduma kama hujawapa kakitu, kumekuwa na hawa mawakala wanaosajili makampuni na majina ya biashara, sasa ukiwatumia wale wanakwambia weka na Sh 50,000 ya ku-push kule ndani.
Ikitokea hujawatumia hawa mawakala ukienda BRELA ORS mwenyewe ukatuma maombi yatasubiri sana aisee, yaani wale walioko kule ndani hawa deal na maombi ya kwenye mfumo kama huja-push na njia pekee ya kupush ni lazima uwape mawakala wakufatilie jambo lako.
Hii inakera sana hasa pale unapokuwa umelipia gharama zote zinazohitajika. Bora ingekuwa unalipia baada ya kupatiwa huduma unaweza kuahirisha.
Kibaya zaidi mfumo wa BRELA haukuruhusu kufanya maombi mapya kama la zamani halijamalizwa, so hata ukitaka ulifute utafute watu wakusaidie bado utakwama.
MAJIBU YA BRELA
Ikitokea hujawatumia hawa mawakala ukienda BRELA ORS mwenyewe ukatuma maombi yatasubiri sana aisee, yaani wale walioko kule ndani hawa deal na maombi ya kwenye mfumo kama huja-push na njia pekee ya kupush ni lazima uwape mawakala wakufatilie jambo lako.
Hii inakera sana hasa pale unapokuwa umelipia gharama zote zinazohitajika. Bora ingekuwa unalipia baada ya kupatiwa huduma unaweza kuahirisha.
Kibaya zaidi mfumo wa BRELA haukuruhusu kufanya maombi mapya kama la zamani halijamalizwa, so hata ukitaka ulifute utafute watu wakusaidie bado utakwama.
MAJIBU YA BRELA
Brela imekuwa mwiba kwa sasa, hawatoi huduma kama hujawapa kakitu.
Kumekuwa na hawa mawakala wanaosajiri makampuni na majina ya biashara. sasa ukiwatumia wale wanakwambia weka na 50,000 ya kupush kule ndani.
Sasa ikitokea hujawatumia hawa mawakala ukienda Brela ORS mwenyee ukatuma maombi yatasubiri sana aisee. yaani wale walioko kule ndani hawa deal na maombi ya kwenye mfumo kama huja push na njia pekee ya kupush ni lazima uwape mawakala wakufatilie jambo lako.
Hii inakera sana hasa pale unapokuwa umelipia gharama zote zinazohitajika. Bora ingekuwa unalipia baada ya kupatiwa huduma...
Habari, BRELA hufanyiwa kazi maombi yote kwa wakati, tunaomba namba ya ombi lako ambalo bado hujapokea majibu yako kwa wakati kwa ajili ya msaada zaidi.Vipi kuhusu kutoshughulikia maombi ya mfumo kwa wakati?