Nakushauri umuache mdada wa watu.. Na hata huyo unaemsema sijui mkali mwengine achana nae. Kama unavosema unataka kuoa huyo msichana unaesema ni wa kawaida basi OA sasa achana na uzinzi, it's never too late to stop sinning! Although we are all sinners, ila mie ushauri wangu ndo huo. Eti husemagi...
Pole sana kwa hili. Muache aende, relax wewe sio wa kwanza kuachwa, inauma sana, but with time you will be healed. Itabaki history. Maybe kuna jambo unaepushwa au hakuwa wa kwako utakutanishwa na wa kwako some other times. Every thing happens with reasons, Mungu ana mpango na kila kitu maishani...
Wow!!!! wow!!!! Wow!!!! I've been touched by this post. Thanks. Now I understand you, you are a real man. Wewe ni mwanaume ndio maana unaelewa uzuri halisi, ila wavulana hawataweza kukuelewa kwa hiki ulichokiandika.
Muoe tuu haina, hiyo ya kupigwa mimba tena form 4 isikutie shaka alikua na akili za kitoto na ni mistake ikitokea, unless kama hujampenda maana hii sio issue kama kweli umefall in love kwake.
Sijapenda kabisa jaribu lako kwa mwanamke. Umemjaribu sehemu kubwa sana uliamua kuvunja ndoa yako. Kwan hakuna majaribio mengine hadi ya kiukatili? Simlaumu mkeo nimejifunza kua mabadiliko ya tabia ya mwanamke chanzo ni mwanamme
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.