Mjadala;kipi bora, kabla ya kuoana rasmi ni bora kufanya mapenzi au ni bora ufanye baada ya ndoa rasmi

Kulingana na taratibu za kijamii mila na destuli zetu pamoja na dini zote kwa pamoja zinakutana kwenye wazo la vijana wasikutane kimwili kabla ya taratibu rasmi za ndoa kufuatwa,
Lakini kulingana na mabadiliko ya kiutamaduni wa kisasa pamoja na mahitaji ya watu wa enzi hizi, desturi hizo zanaanza kupatwa na chagamoto,mfano.watu kuwa na kibamia hali mtu anataka tango..watu kuwa na maji mengi hali mtu anahitaji kianzi cha wanga yaani kitu kikavu..
Na mabadiliko hayo kwa sasa yamekuwa ni ya kuvumilika au kuvunja ndoa.
Sasa tujadili kuwa,ni bora mjipime kabla kwanza au usubiri ndoa ndio ujue kama ni yule uliyemhitaji au uishi naye kwa kumbumilia?
Kama hujawahi kukutana na tango wala huwezi kuona kibamia ni tango. Haya mambo ya kukebehiana yanakuja baada ya kuonja maumbile tofauti.
 
Kama mmetafutiwa na wazazi kheri kusubiri mpaka ndoa...

Ila kama mmetafutana mewnyewe, pigeni show kabla...


Cc: mahondaw
 
Kulingana na taratibu za kijamii mila na destuli zetu pamoja na dini zote kwa pamoja zinakutana kwenye wazo la vijana wasikutane kimwili kabla ya taratibu rasmi za ndoa kufuatwa,
Lakini kulingana na mabadiliko ya kiutamaduni wa kisasa pamoja na mahitaji ya watu wa enzi hizi, desturi hizo zanaanza kupatwa na chagamoto,mfano.watu kuwa na kibamia hali mtu anataka tango..watu kuwa na maji mengi hali mtu anahitaji kianzi cha wanga yaani kitu kikavu..
Na mabadiliko hayo kwa sasa yamekuwa ni ya kuvumilika au kuvunja ndoa.
Sasa tujadili kuwa,ni bora mjipime kabla kwanza au usubiri ndoa ndio ujue kama ni yule uliyemhitaji au uishi naye kwa kumbumilia?

Maandiko matakatifu yanasamaje? Neno la Mungu hua halibadiliki. Imeandikwa usizini ni ktk amri za Mungu. Sio kila kinachofanywa na wengi ni sahihi.
 
Mkuu usijejichanganya ukaoa dem kabla haujambebesha mimba, utakuja jutia kwann upo hapa duniani. Kaka hawa watu waone tu wanatembea ila kuna magarasa hayo ww skia tu.

Niliwahi kamata garasa moja la kinyalu, aiyaaa....lina utasa na hedhi za hovyohovyo kabisa. Subamiiit, nililinyang'anya pete nikalibwaga kwa wajomba zake...aisee. Lipo apa mjin apa limejiweka mme wa mtu. Mie nshakamata mwenzie tunalea saiz.

Sjui, labda kama umeyakubali hayo.
Hehehehehe
 
kabla,baada yote mapenz hayawez kukuacha salama.Hayanaga formula haya
 
Kulingana na taratibu za kijamii mila na destuli zetu pamoja na dini zote kwa pamoja zinakutana kwenye wazo la vijana wasikutane kimwili kabla ya taratibu rasmi za ndoa kufuatwa,
Lakini kulingana na mabadiliko ya kiutamaduni wa kisasa pamoja na mahitaji ya watu wa enzi hizi, desturi hizo zanaanza kupatwa na chagamoto,mfano.watu kuwa na kibamia hali mtu anataka tango..watu kuwa na maji mengi hali mtu anahitaji kianzi cha wanga yaani kitu kikavu..
Na mabadiliko hayo kwa sasa yamekuwa ni ya kuvumilika au kuvunja ndoa.
Sasa tujadili kuwa,ni bora mjipime kabla kwanza au usubiri ndoa ndio ujue kama ni yule uliyemhitaji au uishi naye kwa kumbumilia?
Bola kamla kabla ya ndoa , maana unaweza kukuta dimbwi la maji miksa mashavu (fe) na ukakuta jogoo awiki (me) na hizi ndoa za kanisani mnazjua
 
Back
Top Bottom