Banjooo alikuwa bro wa kitaa,mwambaa namkubalii...pale kwao sanawari,njia ya kwenda naboisho ndo maskani....dah sikujua kama kadenjii...sadik mkindi ni shemeji yangu pande mbili,demu alie mnyongaaa alikuwa mtoto wa dingi mkubwaa....mojor makange...alfu kaka angu alimuowa mdogo wake sadiki wa...
Mkuu sikujua wee nimuongo hivyo,mi ni mzaliwa wa vudee,njia ya kwenda chomw pale chini zinapo paki kilengaa,kilee chote nikijiji na utawala wa babu yangu.umeongopea watu kuhusu ngoma ya mbungwa....nikiwa kijana mdogo tumeuzuria sanaa hizo ngomaa,tena na kushiriki kupiga mkindaa kigoma flani...
Ni kumshirikisha mwenyezi mungu na kitu chochote,mfano kuomba kupitia makaburi ya mababu zetu,kuomba kupitia miti,kuomba kitu kwa mungu kupitia kitu kingine,kiumbe kingine.ni kumshirikisha mungu
Wachaa washuhulikiane....kwa.mabulaa natoa pongezi kwa kukatwaaa....mbunge wa ovyoo sanaa....bohongwa ziwa liko karibu lakini majii hakunaa.anaulizwa na mama samia anasemaa buhongwa hakuna tatizoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.