Recent content by B'REAL

  1. B'REAL

    Arusha: Je, kifo cha Banjoo (Abdilah Musa) ni ''auaye kwa upanga hufa kwa upanga''?

    Banjooo alikuwa bro wa kitaa,mwambaa namkubalii...pale kwao sanawari,njia ya kwenda naboisho ndo maskani....dah sikujua kama kadenjii...sadik mkindi ni shemeji yangu pande mbili,demu alie mnyongaaa alikuwa mtoto wa dingi mkubwaa....mojor makange...alfu kaka angu alimuowa mdogo wake sadiki wa...
  2. B'REAL

    Mbungwa: Ngoma ya Mashetani na wenye mapepo. Kula Chuma hicho.

    Mkuu sikujua wee nimuongo hivyo,mi ni mzaliwa wa vudee,njia ya kwenda chomw pale chini zinapo paki kilengaa,kilee chote nikijiji na utawala wa babu yangu.umeongopea watu kuhusu ngoma ya mbungwa....nikiwa kijana mdogo tumeuzuria sanaa hizo ngomaa,tena na kushiriki kupiga mkindaa kigoma flani...
  3. B'REAL

    Seth Mwabe akamatwa kwa kosa la kudukua mfumo wa kampuni ya kubashiri (betting)

    Tubadilishane na daimond....watupee huyo kijana
  4. B'REAL

    Masheikh mliosoma dini na kupata nyadhifa katika jamii acheni tabia ya kuchanganya dini na uganga/uchawi

    Ni kumshirikisha mwenyezi mungu na kitu chochote,mfano kuomba kupitia makaburi ya mababu zetu,kuomba kupitia miti,kuomba kitu kwa mungu kupitia kitu kingine,kiumbe kingine.ni kumshirikisha mungu
  5. B'REAL

    Kujivunia Ubaya Unaowatendea Wengine Mwisho Wake Ni Fedheha Na Aibu Kwako

    Simuachii munguu.....dawa ya kiburi ni nyeuriii...over
  6. B'REAL

    Kama unajua ulitumia hivi vibatari punguza kula sukari na mafuta

    Kwa bibi yangu kulee vudeee msangaa,tulikua tunaita vijariii avyaeee
  7. B'REAL

    Leo Agosti 26 ni siku ya kuupokea mwenge wa uhuru jijini Mwanza katika viwanja vya Nyamhongoolo

    Mwengeee ni umalaya na ulevi tu unapo lala,nakumbukaa mwaka jana linilikua mwanza...ukalala centre buhongwa shuleni
  8. B'REAL

    DOKEZO Meru, Arusha: Kuna Mwalimu ni mvuta bangi na anauzia wanafunzi Bangi

    Chuki binafsi wee mmeruuuu...ndefoooo shureeee
  9. B'REAL

    Tsunami ya mwaka 2004 unakumbuka nini na ulikuwa wapi?

    La kwanzaa,mi ndo niko form six mamaee.kunawakati hatuitaji kubishana huku kuna watoto wetu
  10. B'REAL

    NINAHITAJI MSAADA WENU WAPENDWA

    Kuna mtu soon anakua kichaaa,jaribu kukaa na watu wakaribu marafiki,njichanganyee hiyo ni phychology problem.utachanyanyikiwa siku si nyingi
  11. B'REAL

    GE2025 Wajue wabunge 10 Walikouwa wabunge na kushinda kura za maoni kisha kukatwa na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

    Wachaa washuhulikiane....kwa.mabulaa natoa pongezi kwa kukatwaaa....mbunge wa ovyoo sanaa....bohongwa ziwa liko karibu lakini majii hakunaa.anaulizwa na mama samia anasemaa buhongwa hakuna tatizoo
Back
Top Bottom