Recent content by B'REAL

  1. B'REAL

    Hofu ya kunguni Ufaransa

    Nilijua kunguni ni wadudu Wa sisi maskini tu
  2. B'REAL

    Je ni kweli Kuna mzee wa kimila wa kipare anafanya uganga huu?

    Unapajua mbalamo....nnetonga mbalamo,ambuuu mbalamo hena vyangangaaa.....
  3. B'REAL

    Wanafunzi wengi wa msingi wanaishi na mzazi mmoja na hali zao ni duni

    Alibakwa...au niuzizi?maana tunaongea kama tumesahau dini zote zinakataza zinaa kablaa ya ndoa.
  4. B'REAL

    Kwa mara ya kwanza nimefika Mwanza nimekutana na stand Mpya ya Nyegezi. Hayati Magufuli CCM ilipoteza Rais!

    Ngosha karibu mwanzaaa....jmosi uje hapa bambino turuke nyokaa
  5. B'REAL

    Hakuna faida ya kumpeleka mtoto English Medium (mabasi ya njano)

    Tafta hela bro...achaa makasiriko,Na pesa za wezako
  6. B'REAL

    Nchi inaliwa na Macartel wachache, nani atawanusuru Watanzania Milioni 60?

    Picha inaongea zaidi ya maneno 1000,namuona rihana.hana raha...jamaa nmporipori...ila mawe yapo...endelea
  7. B'REAL

    DOKEZO Vibarua wa Kiwanda cha NIDA Ubungo tuna hali mbaya

    Bota niendelee kuuza Mtumba,day yako ya week naweza pata siku moja
  8. B'REAL

    Kipi nafuu kuishiwa pesa au nguvu za kiume

    Mkiu pesa ndo inaleta nguvu za kiume
  9. B'REAL

    CRDB Bank hela zetu nani wanazitoa kwenye account

    Kikweli crdb nitatizo...hata mimi tena mangicha washanikata mata mbili,yakwanza nilikua Na 20000,kesho take naenda kutoa naambiwa Na 7000 Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
  10. B'REAL

    Moyo wa kusaidia

    Kuna mama aliniokoaga kwenye shoti ya umemee niliganda kabisa...akankbika na mti mkavu nikadondoka,sikuwai kumjua huyo mama,wala majirani hawamjui,wazazi walijaribu kumtafuta hawakumpata.
  11. B'REAL

    Mtwara: Mwalimu wa kujitolea mbaroni kwa kumbaka mwanafunzi

    Ila tuache utani hawa watoto wasiku hizi wana moto sanaa,kuna shule iko mwanza buhongwa sekondari kama mzazi ile shule imeoza a see...vitoto vya form one vinatembea na Vijana zaidi ya 7 na kanatembea vizuri.shule ni uchafuu tu...serekali imelikeni hi shule.hasaa hawa wanafunzi Wa day
  12. B'REAL

    Nimetelekezwa na ujauzito, natafuta kazi

    Check mbuziii nyingine hii,we huna uwezo ya kutia mimba,utake kulea damu za mwezako
Back
Top Bottom