Kikweli crdb nitatizo...hata mimi tena mangicha washanikata mata mbili,yakwanza nilikua Na 20000,kesho take naenda kutoa naambiwa Na 7000
Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
Kuna mama aliniokoaga kwenye shoti ya umemee niliganda kabisa...akankbika na mti mkavu nikadondoka,sikuwai kumjua huyo mama,wala majirani hawamjui,wazazi walijaribu kumtafuta hawakumpata.
Ila tuache utani hawa watoto wasiku hizi wana moto sanaa,kuna shule iko mwanza buhongwa sekondari kama mzazi ile shule imeoza a see...vitoto vya form one vinatembea na Vijana zaidi ya 7 na kanatembea vizuri.shule ni uchafuu tu...serekali imelikeni hi shule.hasaa hawa wanafunzi Wa day
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.