Mimi ni team AJ kama nlivokuwa team Tyson miaka ya 90's.
Naona fight kuwa ngumu coz nmechek fight nying za parker ni mtu hatari.!!
AJ akipigwa pasaka yangu itaharibika aisee.
Kwa wadau wa masumbwi unaeza stream www.mamahd.com fight zimeanza za awali 9:30 it seem ndo fight yenyewe
Kabla road license haijaingizwa kwenye mafuta ilikuwa ulikata mile cheti chiti kuna Maelezo ya utaratibu na kanuni za ubandikaji road licence kwamba itabandikwa KUSHOTO
Ni hatari sana kuweka N gear kwenye mwendo kwanza inapunguza differential ya matairi ( mzunguko) hivyo gari hukosa uwiano.
Pili ukiweka N from D gari ikiwa imechanganya unapunguza gear compression ratio kwenye gear box so kufanya Mara nyingi unapunguza life span ya gear box
Mkuu kwa gari automatic za kisasa gari ikishakuwa kuwa mwendo wa kwenda Mbele ukiweka gear ya parking au reverse kamwe haiwez kuengauge. Utaskia tuu mlio kwamba disc lock zinatema tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.