Recent content by brazuka

  1. B

    Antony Joshua Vs. Joseph Parker 31/03/2018 [Special Thread]

    Sema round zikizid huyu jamaa anaweza msumbua AJ. Team AJ
  2. B

    Antony Joshua Vs. Joseph Parker 31/03/2018 [Special Thread]

    Ndio wapo ulingoni soon shughul inaanza
  3. B

    Antony Joshua Vs. Joseph Parker 31/03/2018 [Special Thread]

    Mi stream live Massa mawili sasa
  4. B

    Antony Joshua Vs. Joseph Parker 31/03/2018 [Special Thread]

    Mimi ni team AJ kama nlivokuwa team Tyson miaka ya 90's. Naona fight kuwa ngumu coz nmechek fight nying za parker ni mtu hatari.!! AJ akipigwa pasaka yangu itaharibika aisee. Kwa wadau wa masumbwi unaeza stream www.mamahd.com fight zimeanza za awali 9:30 it seem ndo fight yenyewe
  5. B

    Sehemu sahihi ya kubandika insurance/ vehicle inspection sticker katika gari

    Kabla road license haijaingizwa kwenye mafuta ilikuwa ulikata mile cheti chiti kuna Maelezo ya utaratibu na kanuni za ubandikaji road licence kwamba itabandikwa KUSHOTO
  6. B

    Kuna madhara yoyote ya kuweka "Neutral Gear" kwenye magari Automatic?

    Ni hatari sana kuweka N gear kwenye mwendo kwanza inapunguza differential ya matairi ( mzunguko) hivyo gari hukosa uwiano. Pili ukiweka N from D gari ikiwa imechanganya unapunguza gear compression ratio kwenye gear box so kufanya Mara nyingi unapunguza life span ya gear box
  7. B

    Kuna madhara yoyote ya kuweka "Neutral Gear" kwenye magari Automatic?

    Mkuu kwa gari automatic za kisasa gari ikishakuwa kuwa mwendo wa kwenda Mbele ukiweka gear ya parking au reverse kamwe haiwez kuengauge. Utaskia tuu mlio kwamba disc lock zinatema tuu
  8. B

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Nauza Hisense smart tv inch 43 sh.950,000
  9. B

    Kwanini wazungu na wahindi wanawahi kufika kileleni kuliko waafrika?

    Mkuu hongera kwa uwakilishi kimataifa
  10. B

    Mwanaume bila gari ni aibu kubwa

    "Kizazi cha sasa kinapaswa kifahamu kwamba kuwa na gari sio mafanikio au utajiri na kutembea kwa miguu sio umaskini" Nelson Mandela
  11. B

    Nampenda mtangazaji wa ITV Juleth Robart

    Mbona umekopi post ya cetterhutter ya September 6 2017 Au ndo umekuja na ID nyingine kuchek upepo...ha haaaa
  12. B

    PAC yashtushwa na mtaji wa 150,000 wa mwekezaji Mlimani City

    Mkuu nisaidie kama kuna link yoyote inaongelea hizi terms za mitaji ya investment..minimum & maximun
  13. B

    Earphones Original - Mziki Mnene

    Wamekusoma mkuu
Back
Top Bottom