Recent content by brazton

  1. B

    Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    Gari inshtuka ikiwa inachange gear mostly gear 2 to 3 engine ni 2NZ. Naomba kujua tatizo linaweza kua nini?
  2. B

    Nimeamua kupaki gari nitumie usafiri wa umma

    Sawa ndugu, na kwa sababu ulizotoa Upo sahihi
  3. B

    Nimeamua kupaki gari nitumie usafiri wa umma

    Lecture wetu mwaka wa kwanza pale UDSM alituambia Kama mshahara wako ni chini ya 4M bhasi tusinunue gari. Na Kama mshahara wako ni 4M-7M bhasi gari yako ni IST Kama unalipwa 7M+ atleast unaweza nunua gari yoyote I sio idk CC2500 Nilimuelewa sana Yule mzee maana hata yeye hakua na gari...
  4. B

    Nauza sport rim

    Nauza sport rim, zilikuja na gari size 14 zipo zote 4 Bei 360,000 Location Dar es salaam Namba ya mawasiliano 0613004585
  5. B

    Natafuta mwanamke wa kuishi naye tujenge familia

    Noma sana [emoji23]
  6. B

    Jinsi ya Kumfikisha mwanamke Kileleni (Mfanye mwanamke wako akojoe kwanza kabla yako)

    Mwanamke anaekupenda hata ukimshika mkono tu mkiwa kitandani anakojoa. Cha muhimu uwe na hela za kumtoa stress zote[emoji23] Kama anadaiwa kikoba, kodi yake Inaisha mwezi ujao, huku Boss wake anataka apewe ndio ampe kazi Dem Kama huyo hata uingize mwili mzima kukojoa ni ngumu kwasababu ni...
  7. B

    Mbinu gani inaweza kutumika kumbadilisha mtoto anayeanza kuandika kutumia mkono wa kushoto?

    Tena kwa uchunguzi wangu lefties hua na akili sanaaa kwenye masomo yanayotumia sana logic na visualization Kama Math
  8. B

    Wanawake mnaoamini mwanaume ana pesa muda wote mnafikiri wanaume wanatoa wapi hizo pesa?

    Unaweza kumuomba show usiku akagoma alafu asubuhi wakati unajiandaa kwenda job anataka akupe[emoji28]
  9. B

    Naomba kuuliza, silver mercury (Hg) inapatikana wapi?

    Changamoto ni kuziingiza hapa TZ vibali ni vingi mnoo
  10. B

    Naomba kuuliza, silver mercury (Hg) inapatikana wapi?

    Silver mercury inauzwa madukani kwenye inchi Kama India na SA 80,000 tu kwa kilo
  11. B

    Biashara ya dhahabu kwa mtaji wa 25M

    Asante sana ndugu, nitafanyia kazi
  12. B

    Longido, Arusha: Vijana 70 wakamatwa na chuo chao kufungwa wakifundishwa karate na mafunzo ya siasa kali

    Kujifunza karate sio kosa ila kujifunza kimaficho huku mafunzo hayo kuambatana na mafunzo ya misimamo mikali na udini ndipo tatizo linapoanza
  13. B

    Longido, Arusha: Vijana 70 wakamatwa na chuo chao kufungwa wakifundishwa karate na mafunzo ya siasa kali

    Ila siwanavaa kanzu na kibaragashia? Hicho ndio kinawachafua waislamu wote
Back
Top Bottom