Recent content by Bravo247

  1. Bravo247

    Huu sio ustaarabu . Mnafurahia na kuchekelea mlinzi wa rais kuanguka!

    Huyu atakuwa alipata tatizo la moyo! Hopefully yuko sawa!
  2. Bravo247

    Sijalala kwa dk 1 NDANI ya siku mbili, nasikia sauti zinanisema na ukifika usiku zinaimba kwa sauti haulali na hautolala milele

    Bila shaka wewe unakunywa pombe kali tena kwa wingi! Hili tatizo liliniikuta ila nashukuru niliweza kumalizana nalo!! Usiache pombe moja kwa moja punguza, jitahidi labda unywe wakati unalala. Jitahidi kunyywa maji mengi, vitamins nyingi, ukiweza fanya na mazoezi ili kuufanya mwili uchoke kidogo...
  3. Bravo247

    GE2025 Baadhi ya wagombea urais hawaielewi Tanzania, wala hawajui mahitaji ya watanzania

    Ndio maana nikasema uliowalist umemsahau na yeye! Maana haelewi aongee kitu gani!!!
  4. Bravo247

    GE2025 Baadhi ya wagombea urais hawaielewi Tanzania, wala hawajui mahitaji ya watanzania

    ANayesema miili isizuiliwe kama mgonjwa alikuwa na deni umemsahau!!
  5. Bravo247

    Naomba msaada wa afya naombeni msaada

    Ndo maana nikamwambia kupona pia kunaenda sambamba na "imani". Na nikasema sijajua kwanini yeye kaona heri aende Mlohanzila. Ni kweli Muhimbili kuna ukaribu zaidi. Na nafikiri kunafikika kiurahisi zaidi tofauti na Mloganzila. Kuhusu Rufaa aombe tu watamuandikia kwa vile amekaa muda mrefu na...
  6. Bravo247

    Naomba msaada wa afya naombeni msaada

    Waombe tu wakuandikie Rufaa. Kupona pia kunaendana na imani kama una imani na Mloganzila. Ila sijajua umetumia vigezo gani kuona panakufaa na si hospital zingine. Zungumza na Doctor atakuandikia tu rufaa haina hata mambo mengi wala. Kama unauwezo unaweza lipia hata ambulance ama tafuta usafiri...
  7. Bravo247

    Una deal vipi na tukio kama hili au nilipotezee ni kawaida tu?

    Inabidi ujiulize kama ungekuwa haupo angeenda ama asingeenda? Na je ni mara ya kwanza kuitwa ama wameshawahi kuitana before? cha mwisho mkanye mkeo asiwe na mazoea yakijinga na majirani!
  8. Bravo247

    Utafanyaje mtu akikuhisi wewe ni jinsia tofauti na ulivyo?

    Angalia pia na mavazi unayovaa pia jitahidi kuangalia muonekano wako kama namna ya unyoaji nywele na vingine!!! Asingeweza kukuita sister tu from nowhere.
  9. Bravo247

    GE2025 Mgombea wa CCM hajaongea jipya lolote, ameshindwa kujinadi vyema

    Ndo maana kahofia kumuachia TAL anajua alikuwa anachabangwa mapema sana!!!
  10. Bravo247

    Wachinjanji wa wanyama, si busara kuchinja mnyama wengine wakiangalia mwenzao akichinjwa

    Ulichosema baadhi ya watu wanaona kama masihara ila uko sahihi kabisa! Pia nyama huwa inapoteza ladha tofauti na mnyama anayechinjwa kistaarabu na kwa kufuata taratibu!!
  11. Bravo247

    Kisaokolojia: Watu watakuheshimu zaidi wasipokuona mara kwa mara

    Nakubaliana na wewe kabisa!!! Na hiki kitu nimeanza kukiishi kwa sasà na ninaona matokeo yake!!! Ilifika sehemu dharau zikawa nyingi. Kuna mtu anakudharau hajui hata value yako kisa anaona uko available sana sehemu fulani.
  12. Bravo247

    Huyu kaka namjua ila sijui anafaidika na nini kuvaa mavazi ya kike na kwenda mahakamani

    Mbona kataka kufanana yule jamaa muuza madafu?
  13. Bravo247

    Motivation; Jambo gani au changamoto gani ambayo umekubaliana nayo ili kuirudisha amani na furaha maishani mwako?

    Shukrani sana mkuu ni kweli kwa sasa nimefikia level fulani nashukuru kwa ushauri wako!!
Back
Top Bottom