pole sana mkuu: Kuna vitu vingi sana tungependa kukuiliza hapa kabla ya kukushauri cha kufanya. Ni inbox nikutumie namba yangu ya simu or whatsup au skype ID nikushauri vizuri Zaidi if you are real serious. Au weka namba yako ya simu nikupigie. Asante sana. Pole sana
Ni kweli hebu tujitie moyo tuwe tu wajasiri bila kuogopa ila Sasa; Mzalendo mwenzangu ukiwa mjinga kwa kutenegeneza matatizo mwenyewe kisha unaamka siku moja kana kwamba siyo wewe , lazima uwe mnyonge tu ujasiri unautoa wapi? Sasa kila chama kinaposhika madaraka wajitathmini ktk maamuzi yao...
Mhhhhhh! kinachoniogopesha jinsi ulivyo na ujasiri wa kutumia Neno la Mungu vibaya. Kuwa makini ndugu. Twende na siasa bila kujichanganya na kujificha kwenye Maneno ya Biblia na kuyapindisha kwa maslahi binafsi. Mungu akusaidie na kukurehemu mpendwa.
Hakukuwa na sababu ya wao kutoa mapendekezo jinsi mdahalo uweje. MCT ni tasisi competent sidhani kama wanahitaji mapendekezo toka kwa washiriki wa mdahalo uweje. Chamsingi washiriki wakae tayari kwa kushiriki mdahalo.
Vema, ila naomba tuletee pia gharama za uendeshaji wa serikali za nchi washirika yaani Tanganyika na Zanzibar. tukipata hizo hesabu tutaweza kuamua vizuri. Vinginevyo 2 au 3 ni siasa tu.
Pole sana! Kwa bahati mbaya ni wenye njaa ya haki ndiyo huandamana. Walioshiba dhuluma, ujanjaunja hawaandamani wala sijawahi ona wezi, wafisadi, walanjama na wanafiki wakiandamana.
Matokeo ya kuwepo kwa vikundi vya ulinzi katka vyama vya siasa ni HATARI SANA kwa mstakabali wa amani na usalama taifa hili. Hatari yake tunaweza jifunza toka uchaguzi wa Igunga hii ni picha ndogo tu nadhani tutegemee makubwa zaidi kama kila chama cha siasa kitakuwa na chombo chake cha ulinzi...
Kwa kweli nyani haoni kundule na mkuki ni mtamu kwa nguruwe ila kwa binadamu ni mchungu naona Tendwa anayajua yote.
Afute tu kama kwa busara zake anaona inafaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.