Wadau nmekatishwa tamaa xana na matokeo ya ukawa kwa ujumla, mfano jimbo la mbozi na Vwawa cdm wanaongoza lakn Kandoro na jopo lake wamejaa wanashikiza matokeo yageuzwe.
Anaeshabikia ccm kwa sasa ni wale, either baba ake ni mwenyekit ccm ngaz ya wilaya au mlez wake ana maslah na ccm, bila ccm yey anajua maisha yake ndio bas tena, watu wa stail hii ndio wanao hangaika sana uck na mchana kuitetea ccm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.