Lowassa kusamehe walionufaika mikopo ya HESLB

Lowassa kusamehe walionufaika mikopo ya HESLB

Anatafuta kiki tu?we kwa akil yako inawezekana,na wale waliolipa je?wale waliojisomesha wenyewe nao atawarudishia hela?Hivi ukiwa mbona miakili yenu imelalalala kama jamaaa

Hivi ukiwa pro - mcc unajitoa akili makusudi au si jui inakuwaje? kwani lazima kila thread inayo attack mcc uchangie!! Hivi escrow moja tu haiwezi kulipia madeni ya wahitimu? Ukiona hoja ni nzito kuliko uwezo wako wa ku analyse issues critically, ni bora kukaa kimya vinginevyo tunawapa ujiko vijana wa ukawa waonekane wako smart bila sababu ya msingi
 
Habari njema sana hii, mungu ibariki chadema mungu ibariki ukawa
 
Acha ujinga mbona unafikiri kwa kutumia masaburi ww,ccm inavoahidi kutoa elimu bure waliokwisha soma watarejeshewa ada zao??? na wanaposema wataboresha huduma za afya ina maana watawafufua waliokufa kwa huduma mbovu???


. hapa umechemka jombaaa...yaani tangu kampeini zianze hujui walahujafatilia ata mmoja wao kujua wanatoa ahadi gani......hii ya kutoa elimu bure alisema LOWASS sio CCM.....duh kumbe mnashangilia tu UKAWA kumbe hujui malengo yao.......!!!!
 
. hapa umechemka jombaaa...yaani tangu kampeini zianze hujui walahujafatilia ata mmoja wao kujua wanatoa ahadi gani......hii ya kutoa elimu bure alisema LOWASS sio CCM.....duh kumbe mnashangilia tu UKAWA kumbe hujui malengo yao.......!!!!

khaa uko serious mkuu???! au ninayemsikia akiahidi elimu bure had kidato cha nne ni magufuli wa libya??? nadhan kwnyy hili we ndo unachemka mkuu soma vzr post yangu.
 
Acha ujinga mbona unafikiri kwa kutumia masaburi ww,ccm inavoahidi kutoa elimu bure waliokwisha soma watarejeshewa ada zao??? na wanaposema wataboresha huduma za afya ina maana watawafufua waliokufa kwa huduma mbovu???

Siasa mchezo mchafuu
 
huyu jamaa anaongea vitu vya msingi ila kuna mijitu imelaaniwa haisikii wala haioni nia njema ya huyu rais wa watanzania

Kwa sababu anajulikana ni mwizi, kwenye urais uadilifu ni jambo la kwanza
 
Kawaambia mtaishi bure huku mnanyonya kama kupe ..kawaharibu sana, hata biblia mbona inatwambia ya kaizari tumpe kaizer, sasa huyu Lowassa yeye anatumia msaafu upi ama ndo yale maagizo ya pete yake? tambueni Tanzania siyo Eden.
 
Hivi ukiwa pro - mcc unajitoa akili makusudi au si jui inakuwaje? kwani lazima kila thread inayo attack mcc uchangie!! Hivi escrow moja tu haiwezi kulipia madeni ya wahitimu? Ukiona hoja ni nzito kuliko uwezo wako wa ku analyse issues critically, ni bora kukaa kimya vinginevyo tunawapa ujiko vijana wa ukawa waonekane wako smart bila sababu ya msingi

Asante kaka umempa ukweli wenye mashiko.
 
Jamani huyu mzee mamvi sijui Mungu ampe ni nini tena! Huyu mzee kajaliwa maono hakika akichaguliwa natabiri serikali yake hakutakuwa na wakuijutia, taifa hili litapiga hatua kubwa Sana kimaendeleo kwa mikakati yake..Magufuli anafaa zaidi kuwa waziri!
 
. hapa umechemka jombaaa...yaani tangu kampeini zianze hujui walahujafatilia ata mmoja wao kujua wanatoa ahadi gani......hii ya kutoa elimu bure alisema LOWASS sio CCM.....duh kumbe mnashangilia tu UKAWA kumbe hujui malengo yao.......!!!!

We jamaa we ndio hujui, kama sio kutokujitambua kabisa jamaa Magufuli naye kaahidi akingia madarakani elimu itakuwa bure kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne, ila me simchagui ng'o aheri anidanganye Mh. Lowassa lakini sio Makufuli...Tunataka tuuonesha ulimwengu Tanzania ni nchi ya vyama vingi, so MABADILIKO ni lazima.
 
Aisee kwa hili atakuwa katuokea wengi sana. Yani hapa kila mwezi narudisha 8% ya Salary pia walinipiga penalt 10% kwa kuchelewa KULIPA.

VIVA UKAWA!!!!
 
Ccm walivyo na roho mbaya walifika pahala wakaweka utaratibu wa kipuuzi eti ukipata nafasi ya masomo nje ya nchi hupati visa bila kulipa deni, hivi mtoto wa masikini aliyetoka huko tandahimba akabahatika kupata gpa 5,muda mfupi baada ya kugraduate, akalamba scholarship hawezi kwenda kusoma ng'ambo, kwa sababu wazazi wake hawezi kulipa deni kwa wakati huo
 
Acha ujinga mbona unafikiri kwa kutumia masaburi ww,ccm inavoahidi kutoa elimu bure waliokwisha soma watarejeshewa ada zao??? na wanaposema wataboresha huduma za afya ina maana watawafufua waliokufa kwa huduma mbovu???

wewe kweli ni great thinker.
 
Bodi ya mikopo inanidai milioni 11, naendelea kuhamasisha zaidi kumpigia kura Lowassa
 
Kawaambia mtaishi bure huku mnanyonya kama kupe ..kawaharibu sana, hata biblia mbona inatwambia ya kaizari tumpe kaizer, sasa huyu Lowassa yeye anatumia msaafu upi ama ndo yale maagizo ya pete yake? tambueni Tanzania siyo Eden.

Wewe unaumri gani? Kama ni zaidi ya 25 basi ni kaka yangu, sikia nikwambie anayoyaagiza lowasa yanatekerezeka 100% ila watu mnakuwa kama wehu na ccm yenu kumbuka mwaka 2005 alipoteuliwa kuwa waziri mkuu aliweza kusimamia ujenzi wa shule za kata kwa mda wa miez minne tuu na mwezi wa tano wanafumzi wakaanza masomo (yaani kuanzia novemba 2005-march 2006, mwezi april vijana tukaanza masomo) sasa jiulize kama aliweza kufanya maendeleo makubwa namna hiyo sio rais je akiwa rais si zaid pia ujenzi wa chuo cha UDOM na kukomesha shida ya maji katika mikoa ya ya kaskazini nk...mi binafsi naimani na lowasa 100%
 
Kwa sababu anajulikana ni mwizi, kwenye urais uadilifu ni jambo la kwanza

Acha tu awe mwizi ili mradi na sisi tunufaike kwa elimu bure.Sio kama hao wengine wanaokimbiza mabilioni yetu na kutusahau sisi walio wa wakawaida.
 
Acha ujinga mbona unafikiri kwa kutumia masaburi ww,ccm inavoahidi kutoa elimu bure waliokwisha soma watarejeshewa ada zao??? na wanaposema wataboresha huduma za afya ina maana watawafufua waliokufa kwa huduma mbovu???

Hahahaaa well said mkuu...ur a great thinker
 
Back
Top Bottom