Nanunua gari, nina milioni 5

Nanunua gari, nina milioni 5

Preta hata mimi nashangaa nawe fundi magari kweli au masihara! Japo niliwahi kufuatilia nikagundua una kauzoefu flan kwnye magar
 
He he he......wewe.......hujui mimi ni fundi eeeh...... BIGURUBE unadhani hajui anachosema..........

wewe dada huwa sikupatii picha ilivyo naona chenga tu ahahahhaaa fundi tena? Mh
 
Last edited by a moderator:
Kama upo Arusha kuna Dada ana
shida hivyo anauza Toyota Cresta namba B kwa mil
5.
 
Nipo simiyu nauza gari nzuri sana TOYOTA HARRIA gari ipo katika hali nzuri. Kwa mawasiliano kabisa tuwasiliane kwa namba.0785636880
 
Nipo simiyu nauza gari nzuri sana TOYOTA HARRIA gari ipo katika hali nzuri. Kwa mawasiliano kabisa tuwasiliane kwa namba.0785636880

Dah.....mkuu, bei ni mil 5 pia...........?.......maana hapa story ni mil 5 kwa kwenda mbele.........
 
Preta hata mimi nashangaa nawe fundi magari kweli au masihara! Japo niliwahi kufuatilia nikagundua una kauzoefu flan kwnye magar

Mimi ni fundi maarufu sana wa brake pads na shokomzoba hapa Yaeda chini.......ndugu yangu Mgibeon........hicho ni kitengo cha mafundi wakuu Kaizer... LEGE na Mshana Jr..............watakuja kucheck.........
 
Last edited by a moderator:
Mambo ni maelewano tu we piga simu hiyo au hii 0713477821 tuzungumze tutaelewana tu.
 
Nitafte kwenye namba hii 0767053616, nina gar ya mizigo midogo midogo (kilikuu)
 

Attachments

  • 1450474676327.jpg
    1450474676327.jpg
    55.7 KB · Views: 201
  • 1450474709913.jpg
    1450474709913.jpg
    56.5 KB · Views: 196
Vits kwa ubavuni
 

Attachments

  • 1450475271702.jpg
    1450475271702.jpg
    62.1 KB · Views: 183
Vits tajwa kwa ndani
 

Attachments

  • 1450509797258.jpg
    1450509797258.jpg
    47.5 KB · Views: 146

Similar Discussions

Back
Top Bottom