Recent content by Braiton kiduko

  1. Braiton kiduko

    JamiiForums Tanzania Waziri Mwakyembe,unataka kutumbuliwa? Take care!

    Hahahha
  2. Braiton kiduko

    JamiiForums Tanzania IGP Mangu awasimamisha kazi askari polisi 12 wanaodaiwa kujihusisha na mihadarati

    Fukuza wote, majengo tufugie kuku labda hilo ndio tunaloweza
  3. Braiton kiduko

    JamiiForums Tanzania Lema atoka hospitalini, sasa yupo tayari kwa UKUTA

    Tuko pamoja kamanda
  4. Braiton kiduko

    JamiiForums Tanzania Lipumba: Mimi bado ni Mwenyekiti wa CUF, sitambui kikao cha Zanzibar

    Tatizo hata waandishi wenyewe ni vilaza wanashindwa kumhoji mambo ya msingi wanabakia wanapelemba tu maneno, kwanini hamhoji yale yaliyomfanya akajiuzuru je leo hayapo?
  5. Braiton kiduko

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa na Septemba Mosi: ‘Siasa ni sayansi’

    #braiton
  6. Braiton kiduko

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa na Septemba Mosi: ‘Siasa ni sayansi’

    Hujui na hujui kama hujui
  7. Braiton kiduko

    JamiiForums Tanzania Alichosema Tundu Lissu baada ya Lowassa kukutana na Rais Magufuli

    Waruhusu uone wanaojitambua wanavyojaa usidhani wore wapo kama ww
  8. Braiton kiduko

    JamiiForums Tanzania Ni fedheha kwa wanasiasa kulichanganya tukio la kuuawa kwa askari jana na UKUTA

    Kazi ya Polisi ni kulinda raia na mali zao siyo kuwatisha kwa vifaa vya kijeshi mabarabarani,, ni muhimu sana tukatambua kuwa amani ni "tunda la haki" siyo kutisha watu simamia haki.
  9. Braiton kiduko

    JamiiForums Tanzania Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

    Nadhani kitakuwa kipindi murua sana hawa jamaa wapo vizuri sana katika mijadala
Back
Top Bottom