Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,011
- 31,798
Hapo kabadili gia angani tunavyo endelea kujadili yake tunasahau ya makonda atakavyo kuja mwingine na vihoja tutasahau ya mwakyembe ccm ni mabingwa wa kubadili mchezo
Sifa kuu ya jembe ni kuingizwa mpini katikatiJembe Mwakyembe
Sometimes sio kila kitu lazima uchangie....Hii post ya kipuuzi. Moods futeni kwanza ni ya kichonganishi pili haina logic tatu ni yakitoto nne ni mada kama za kwenye vijiwe vya kahawa.
Kama Bunge lilivyokaliwa na CCM?Tundu akiwa kiongozi wa TLS, TLS itakuwa tawi la Chadema.
Kwa wasiofahamu,Waziri wa Katiba na Sheria,Dr. Harrison Mwakyembe ndiye Godfather wa Mkuu wa mkoa wa Dar,Paul Makonda. Hawa,wanafanana kwa matendo na maneno yao. Hawana breki katika kusema au kutenda
Like father,like son. Ametoka mwana,ameingia baba. Waziri Mwakyembe sasa anatamka vya kuichora Serikali kama ya udikteta. Kwanza,alisema hakuna Sheria inayokataza mikutano ya siasa baada ya uchaguzi. What does it mean? Hajui kuwa Rais amesema siasa hadi 2020?
Jana,Waziri Mwakyembe ametishia kuifuta Tanganyika Law Society(TLS). What does it mean? Anataka kuchora mchoro wa udikteta wa Serikali? Kwa faida ya nani? Namsihi Waziri Mwakyembe aende taratibu. Awe na breki na jeki.
Kama anataka kutumbuliwa aseme. Asipokaa kimya,tunaomfahamu tutavunja ukimya!
Mwafaaa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Jembe Mwakyembe
Hahahhaile kemikali aliy6wagiwa ilipenya hadi kwenye ubongo,ogopa mtu aliyefika kuzimu nusu akarudi duniani mwenzio kaishakutana na israili
Kwa hiyo Tundu kashaguliwa kuwa rais wa TLS?duuhh hii miccm inamuogopa kamanda Lissu inaweweseka tu.Tundu akiwa kiongozi wa TLS, TLS itakuwa tawi la Chadema.