Recent content by braina

  1. braina

    Sasa ni mjamzito... Niko njiapanda...!

    Ngoja nikugaie hitimisho lako kwa mfumo wa hadithi nahisi utanielewa au wadau nimpe hitimisho?
  2. braina

    Naomba nisaidiwe namba za simu za mkuu wa Shule ya Sekondary Songe iliyopo Musoma

    Hii shule ipo musoma mjini mkoa wa mara kama kuna mwenye namba za mwalimu yeyote wa shule hii naomba anisaidie ....
  3. braina

    Naomba nisaidiwe namba za simu za mkuu wa Shule ya Sekondary Songe iliyopo Musoma

    Naomba msaada wenu wadau kama kuna mtu ana mawasiliano ya mkuu wa shule au mwalimu yeyote wa songe anisaidie ninashida nazo...
  4. braina

    Nimechoka mwili na roho mwalimu miye loh!!!

    Nione nikuhamishe kituo unachotaka...
  5. braina

    Nini tafsiri ya ndoto hii ?

    Sasa ili usife usiku usilale ili usiote tena sawa.
  6. braina

    Nini tafsiri ya ndoto hii ?

    We unakaribia kufa halafu ukifa utashindwa kupita kwenye ile njia nyembamba ya kwenda peponi.
  7. braina

    Chadema acheni wivu ridhiwani ndiyo kashakuwa mbunge na baraza la mawaziri likivunjwa anapewa unaibu

    Mtei mwenyewe kashaikatia chadema tamaa na hana uhakika na 2015 kama wataambulia kitu.
  8. braina

    Chadema acheni wivu ridhiwani ndiyo kashakuwa mbunge na baraza la mawaziri likivunjwa anapewa unaibu

    We mrangi na chadema wapi na wapi hicho chama waachie kina mtei, mbowe, slaa, lema, nasari, wanajuwana wenyewe.
  9. braina

    Chadema acheni wivu ridhiwani ndiyo kashakuwa mbunge na baraza la mawaziri likivunjwa anapewa unaibu

    Rizi ana haki za kikatiba hata kugombe urais ....kama na wewe unaona unaweza kachukue form ugombee hata uwenyekit wa serekal ya mtaa kwa tiket ya chadema kama utapata kura. Tatizo lenu chadema mna shahada za wivu.
  10. braina

    Ngasa njaa ndio ilimkimbiza simba na kuja yanga

    Ngasa njaa ndiyo ilimfukuza simba na kuja yanga
  11. braina

    Chanel ya Mbc1 imetangaza kuwa imegunduliwa perfume yenye sumu na kuua nchini :-Iraq, Bahrein na Sa

    Chanel ya Mbc1 imetangaza kuwa imegunduliwa perfume yenye sumu na kuua nchini :- Iraq, Bahrein na Saudia, vilevile ktika mji wa Alain (U.A.E), na Bremi nchini Oman. Watu 8 nchini Iraq wameshafariki dunia na wapatao 35 wapo hali mbaya. Tayari wameshagundua jina na muundo wa perfume hii yenye...
  12. braina

    Chadema acheni wivu ridhiwani ndiyo kashakuwa mbunge na baraza la mawaziri likivunjwa anapewa unaibu

    Uchaguzo wa chalinze umekwisha na ridhiwan ametawazwa kuwa mbunge cha ajabu CHADEMA hawataki kusaini form za kukubali.. hivi nyie chadema wivu mtaacha lini?
Back
Top Bottom