Huyu mzee amekomaa kisiasa, ametukanwa sanaaaa lkn yeye anamwomba mungu na kuwaomba wananchi wampe ridhaa ya kuiongoza nchi. Mungu wa wananchi wote atatenda. Amen
Kama mwanamke amechelewa kurudi nyumbani, inawezekana ni mara yake ya kwanza ipo namna ya kumuuliza, sio mbele ya watoto, ni chumbani tena kwa sauti ya upole. Kama ni kawaida yake kuingia saa mbili,tatu hadi nne, inamaana unajua kazi yake na umemzoea huna haja ya kumuuliza
Ninawasihi wanajamii kuacha kutoa lugha za matusi, tushindane kwa hoja.
Kwangu mimi navutiwa na kiongozi asiyekuwa na jaziba, asiyelipa ubaya kwa ubaya. Mwenye kuwajali wananchi atakaowaongoza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.