Recent content by boxboy

  1. B

    Viongozi wa Dini mnasubiri kauli zipi mjitokeze kukemea yanayoendelea?

    Ndugu tujaribu Kuwa tunaweka kumbukumbu zetu VIZURI Kauli ya Rais Ni mwendelezo wa yanayotokea Pia kwenye vyama vya upinzani Tujikumbushe wakati wa Mwezi mtukufu wa Ramadhani Waziri Mkuu alianda futari Kwa wabunge WOTE.Lakini wabunge wa upinzani walisusia kisa Naibu Spika atakuwepo Je hiyo...
  2. B

    Mbwana Samatta wa Genk kashasahaulika

    Let's be fair jamaniiiiiii Mtu unaandika Hata ile kuona games za Ligi ya Belgium hujaona unachoandika ni kuangalia goals score center Kwa Kuwa ume Bet Samatta ni mchezaji mzuri tumpe sifa zake tuacheni wivu
  3. B

    Natoa Lock za iphone, iPad Macbook Pro ambazo zina iCloud

    I phone kitu Nyingine Huwezi Ku unlock ikiwa imefungwa ktk Apple ID Unaweza Ku unlock ktk sim kadi kuweza kutumia mtandao mwingine Kama imefungwa Kwa ajili ya mtandao mmoja
  4. B

    Nimesahau pete NAMNANI HOTEL nikiwa mchepuko!

    Why Don't you call NAMNANI HOTEL?
  5. B

    QUIZ: Kama wewe mjanja unajua hesabu, jibu hapa

    Mtanzania anapojikoroga mwenyewe Swali ni Quizy money Unaambiwa Tshs Kiasi hicho toa Kiasi hicho Unaanza kuweka formula Za ajabu
  6. B

    Wauzaji mayai mmekumbwa na Nini trey 5000?

    Hiyo ni moja ya laws za DEMAND and SUPPLY Ndio zinapanga Market Price
  7. B

    Viongozi wa Dini wawarudisha UKAWA Bungeni

    Mtu mzima hatishiwi nyau Ombi la Mtu kubwa ni Agizo
  8. B

    Access bank wamenipa mkopo, msaada baa ipi Sinza ina wanawake wakali?

    Njoo G7 Kinondoni Kwa Mama Siriwa Karibu Na Hunters Club
  9. B

    Marehemu Ayubu Kiguru: Shabiki mkubwa wa Sunderland football club miaka ya 1960

    SIMBA ni ile ya kina Juma Mzee Kilomoni Msomali Kulikuwa Na Dreva Taxi alikuwa anapark club ya SIMBA pembeni alikuwa anaitwa Mzee Mwinyigumba aka Under line Hiyo SIMBA Mbwiga hawezi kuijua
  10. B

    Mohamed Dewji Tsh 20 bilioni naweza kununua timu Ulaya

    $10mil hupati Timu ya daraja la pili
Back
Top Bottom