Mwaka 1999 nipo form 2 pale mwembetogwa kulikuwa na mechi mwesesco na lugalo tulivuja pambano kwa ubabe wetu du!!,kesho yake kukawa na mashitaka shuleni ikabidi tupelekwe lugalo sec wakataka tuchapwe viboko mbele ya wanafunzi wa lugalo na bado tuligoma dadeki ikabidi tuchapwe ofisini
Hbr wadau mimi ni mwanaume mwenyewe miaka 48 nahitaji single mother mmoja mzuri mwenye umbo flani hivi kama number 8 ,na mwenye kuishi dar au mkoa wa jirani kama moro au tanga aje dm tuyajenge,mwenye hofu ya mungu ,umri wake huanzie miaka 34 mpaka 43
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.