Fata ushauri uliopewa na wadau..!bata ni ndege asiepata maradhi hovyo..!hivyo ni rahisi kuwafuga..!hakikisha vifaranga hawaloi kwa namna yeyote ile eidha kwa kunyeshewa au kugusa maji..!pili wape watoto wa bata matunzo kama unavyolea vifaranga vya kuku..!ongezeko la bata ni kwa kuhakikisha...
Watenge kwenye eneo dogo karibu na nyumba ya wafanyakazi..!weka fensi ya waya huku ukijipanga kupanda michongoma katika eneo lako..!inaweza kusaidia kidogo..!pia weka mbwa karibu na eneo ulilowatenga na liwe karibu na nyumba..!
Nakushauri kupeleka machinjioni..!pia fungua bucha zako pamoja na kushika majiko kwenye baadhi ya baa..!usisubiri kufikisha nguruwe 400 ndio uanze kuuza..!inaweza pita swine ukalia..!tengeneza wazazi uwe unauza kwa groups kila baada ya miezi 2-3 unapeleka nguruwe sokoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.