Recent content by bovan_xpt

  1. B

    Nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa milion 12

    Mkuu mm ni mfugaji wa hao layers..!hakuna mahesabu kama hayo..!hiyo pesa akinunua cage na vifaranga akajenga banda imeisha
  2. B

    Naomba maoni kuhusu biashara ya nafaka Dar es Salaam

    Komàa hapo hapo kahama unatoka
  3. B

    Naomba ushauri, nataka kufuga kuku chotara kidogo kwa ajili ya kuongeza mzunguko wa hela

    Unaweza nipa mchanganuo wa sasso 1000 kutoka wiki 6-8..!pia naomba kujua unalisha mfuko tu mwanzo mwisho au
  4. B

    Uchawi wa Biashara ni Wateja, tumia gharama zozote kulinda "ulio nao"

    Tunashukuru kwa madini haya bro..!kila siku naendelea kuujaza ubongo wangu vitu vipya kutoka kwenye mada zako..!
  5. B

    Kuku wangu wanakohoa na kukoroma, naombeni msaada

    Huo muda mrefu..!ni miezi mingapi..?
  6. B

    Gari nzuri ya CC chini ya 1500 budget 14m-18m

    Ongeza budget yako vuta klugger..!utanishukuru baadae..!
  7. B

    Msaada: Nataka kupima/kujua uzito wa nguruwe bila kutumia mizani

    Nzuri au uzito=(1.27*1.27)*1.02/400 vipimo ni kwa nchi..!jibu litakuja katika pounds..!then badili pounds(lb)kuwa kg..!1kg=2.202lb
  8. B

    Natafuta mayai ya quail (kwale) - Arusha

    Mtafute chasha huku, anaweza kukusaidia.
  9. B

    Bata ni fursa ila nakwama

    Fata ushauri uliopewa na wadau..!bata ni ndege asiepata maradhi hovyo..!hivyo ni rahisi kuwafuga..!hakikisha vifaranga hawaloi kwa namna yeyote ile eidha kwa kunyeshewa au kugusa maji..!pili wape watoto wa bata matunzo kama unavyolea vifaranga vya kuku..!ongezeko la bata ni kwa kuhakikisha...
  10. B

    Msaada anayejua namna ya kudhibiti wizi wa mifugo shambani

    Watenge kwenye eneo dogo karibu na nyumba ya wafanyakazi..!weka fensi ya waya huku ukijipanga kupanda michongoma katika eneo lako..!inaweza kusaidia kidogo..!pia weka mbwa karibu na eneo ulilowatenga na liwe karibu na nyumba..!
  11. B

    Nafanya uwekezaji wa Nguruwe

    Nakushauri kupeleka machinjioni..!pia fungua bucha zako pamoja na kushika majiko kwenye baadhi ya baa..!usisubiri kufikisha nguruwe 400 ndio uanze kuuza..!inaweza pita swine ukalia..!tengeneza wazazi uwe unauza kwa groups kila baada ya miezi 2-3 unapeleka nguruwe sokoni
  12. B

    Nafanya uwekezaji wa Nguruwe

    Hapa mkuu tupe ratio..!nyasi kavu au mbichi..?na kiasi gani cha nyasi vs mollases.
  13. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Rungwe nije Morogoro Mjini.
Back
Top Bottom