2010 walidai wakaazi wa Arusha mjini ni wakorofi na wamechagua kiongozi kichaa,
Asante sana ni baada ya miaka mitano tumejua ukweli. Kwamba walikataa kuchagua kichaa ndo maana ikawa vile kama ilivyo kwa wakazi wa Dar es Salaam Leo hii.
Poleni sana wakaazi wa bandari Salama.
“Mpaka sasa jiji la Tanga hakuna uongozi uliosimama, sasa hatuwezi kwenda kwa mwendo huu, wananchi wanahitaji maendeleo na kurudia uchaguzi hatuwezi ni gharama kubwa, kilichobaki ni kuivunja halmashauri mpaka hapo muda wa kufanya uchaguzi kwa mujibu wa katiba ya nchi utakapotimia, hivyo kwa...
Nitaanza kwa kifupi kueleza makosa ya kijinga waliyofanya CHADEMA kabla ya kuelezea yale ya msingi;
1. TAMAA – Viongozi wakuu wa CHADEMA walipata UROHO wa ghafla wa kutaka kuingia ikulu kwa namna yeyote, wakasahau misingi, wakaivunja UAMINIFU (LOYALTY) kwa wananchi walioujenga kwa miaka mingi...
Huu nao ni upuuzi usiovumilika kamwe,
Magu nae atajitoa katika hili????
Vyanzo vya fujo vinaanza onekana na wao wanakaalia kimya tu.
Mazafaaaaaaaaaaaaaaaantaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...........!
Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Waziri – Juma Omari
Naibu Waziri Mwita Waitara
Wizara ya Mambo ya Ndani
Waziri – Godbless Lema
Naibu Waziri Masoud Abdalla
Hapo wamenifurahisha sana!
Duh?????????
Ama kweli kazi ipo... Ati wanapendelewa????
Moja, Kama ni kweli wanapendelewa, na nadhani si kisiasa tu kama mnavyotaka kutuaminisha wengi wenu humu ndani. La hasha tuanze kujiuliza maswali kwanza,
1. Mlima mrefu kupita wote afrika, wenye kutoa theluji uko wapi???
2. Na ni kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.