Ndugu wa tz habari zenu, Leo naomba mnisaidie mawazo na nyie km nipo sawa au na mm nakosea,
Kaka angu alieniachia kuzaliwa ni muajiriwa serikalini sekta ya afya,
Aliniomba ushauri kua anataka kuchukua mkopo bank afungue duka la nafaka,
Anasema kaenda Bank kuuliza rate ya riba anasema ni kubwa...
Aiseee Kuna story nilipewaga na mtu alipata tatizo km lako alighushi barua na akaenda kuchonga muhuri fake na akapata hela zake chap Ila mm sijui ata Cha kukushauri
Sio kweli sisi hatukupewa akili sawa kubali ukatae ndo mana unaona vidole havipo sawa mwingine kapewa ufup mwingine urefu, hatuwezi kufanya chochote bila kutumia technology Yao ivi umeshawahi kujiuliza ingekuaje kama wasingekuja wakoloni kututawala ingekuaje?? Leo hii tupo wise kwa sababu ya...
Swali unalouliza ni sawa na kusema ni lini mbuzi ataweza kua ngombe, bila ya kutawaliwa Wala chochote mungu alivotuumba aliwapa akili nyingi wazungu hatuwezi kuwafikia kwa lolote hata tufanyaje mpka mwisho wa Dunia ova
IPO ivi mdg wangu utoto Bado unakusumbua huja mature kiakili, nilidhan labda umekuta mke wako Wana mawasiliano chanya na huyo baba wa mtoto ila kumbe ni unajutia maamuzi ulioyafanya apo umefeli, unapomsaidia mtu yeyote usi demand kulipwa fadhira Fanya kama unatoa sadaka kanisani, Mimi baba angu...
Kuna siku nilikua Dodoma mitaa ya safina pale karibu na temple ya Hindu mandal
Kuna wadada wawili walikua wameketi hapo nje ya Ile temple Kuna kama chemba iv
Mmoja kati Yao alikua ana mtoto mchanga kambeba lakini kamgeuzia mbele
Basi bwana wakaniita ,nikasogea pale wakaniambia wanaomba...
Hapo nyuma kulikua na wimbi kubwa la nyama za waturuki wanazogawa Bure
Ingawa saivi zipo ila si kwa wingi km mwaka Jana
Sijui na nyie mmekutana na hzo habari, ktk zunguka yangu vijijini nimekutana nazo sana kia's kwamba baadhi ya mabucha walifunga biashara kwa sababu nyama za Bure zipo nje...
Kwa maisha magumu na heka heka za kutokua na kazi maalum niliopitia baada ya kufukuzwa ,na Mzee kwangu nitakua tofauti sana, mwanangu wa kiume akae tu home hata akipata na vitukuu hapa sawa
Maisha ya kujitegemea bila kua na msaada au support yeyote kwa ndg mabaya sana unaweza kujikuta kibaka...
Hawa watu wanaojifanyaga wameishika dini, wanakuambia hatuli nguruwe alafu dhambi nyingine wanazifanya, et usile hadharani Yan shida zako wewe ziwape shida na wengine, na hyo Sheria waifanye huko huko Zanzibar huku kwetu bara watakuja kutafuta matatzo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.