Recent content by BOSCODINHO

  1. BOSCODINHO

    Addo November: Irene Robert amekutwa Hotelini akiwa mtupu

    Uchunguzi wa kifo cha mzee kibao umeishia wapi? Vp uchunguzi wa kifo cha MC Pilipili? Wonders shall never end..Hakuna jipya hapo!!!! Wampumzishe tu salama,waendelee na mambo yao..!!! Kama nchi,kuna mahali tulikosea ambapo mpaka leo tunaadhibiwa..!!!
  2. BOSCODINHO

    Je, ni sahihi kumpa hela Mama mkwe ambaye bado hujamuoa mtoto wake?

    Labda kama unataka kupiga wote[emoji3578]
  3. BOSCODINHO

    Tetesi: Hai, Kilimanjaro: Mgomo kuhusu malipo ya semina ya sensa

    Sijui tu huwa serikali inatuonaje watu wake...nasi jana tumelipwa ila kwa mbinde sana...[emoji23] had tuliwaambia kuwa watu wa lodge wanataka kutuny'anyanya vishikwambi
  4. BOSCODINHO

    Tetesi: Hai, Kilimanjaro: Mgomo kuhusu malipo ya semina ya sensa

    Katika kazi ngumu za serikali mwaka huu,hii inaongoza...[emoji23] na hapo tu ni mfano wa kaya 1 na una maswali zaidi ya 100 ya kuwadodosa..[emoji3578][emoji1487][emoji23][emoji1493]
  5. BOSCODINHO

    Tanzania yashika nafasi ya 5 kwa uvutaji bangi barani Afrika

    Jamaica bado tunaongoza [emoji23]
  6. BOSCODINHO

    Wakili Kibatala anajua sana alifanyalo. Ni lazima akuchanganye tu

    Uingiaji tu Kibatala mahakamani ni shida...huingia na mabegi makubwa mawili ya kuburuza nayote yamejaa vitabu [emoji3578][emoji23]..je,shahidi akiyaona,si lazima augue[emoji3578]
  7. BOSCODINHO

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Salamu kwenu wahenga!!!
  8. BOSCODINHO

    Nimemtazama Chama leo Manungu, ni kweli amebaki jina tu!

    Yaani anatangulia JPM afu huyu jamaa anabaki...mchambuzi uchwara ww [emoji3578]
  9. BOSCODINHO

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii inategemea na aina ya kampuni ya kubet...hii option ipo parimatch[emoji3578]
  10. BOSCODINHO

    Wasanii wa Bongo waliofanikiwa kutengeneza Classic songs

    Mwana fa kamsahau pia [emoji3578]
  11. BOSCODINHO

    Wasanii wa Bongo waliofanikiwa kutengeneza Classic songs

    Anakosekana vp afande sele,prof jay,jay mo..!!!?R I.P Albert Mangwea [emoji120]
Back
Top Bottom