Recent content by Bororo

  1. Bororo

    Mentality ya wazazi yuko tayari kulipa ada Tsh. Milioni 5 siyo kukupa mtaji wa Milioni 3

    Kwasababu watu tumejiajili tuna familia zinazopata almost everything kwa self employment at a while Vyeti vya degree na mavyeti mengine kibao yapo kabatini yanaliwa na mende Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Bororo

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Nina shida ya mifuko ya Unga sembe kg 25 branded kwa jumla Naomba kujua viliko viwanda vyake na contacts if possible.Very urgent please. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Bororo

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Wakuu habari, 1) Nataka kufungua duka la kuuza aluminium na vifaa vyake, naomba kujua chimbo la uhakika la kupata mzigo wa jumla kwa bei yenye manufaa 2) Naomba kujua duka linalouza roler kwa ajiri ya POS au risiti za EFD. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Bororo

    Paul Kagame ashutumu nchi za EAC kwa kuua na kutesa watu wake. Tanzania tusikubali ageuze pori la Burigi malalio yake

    Punguza hasira ndugu! Inabidi utuzoee watanzania huwa atusijisifii sana lakini shughuli utaiona kwa macho yako.A group of Rwandans here in jamii forum to spread propaganda about your military capacity at a while We are not dealing with small thing like you that we cannot take even one hour to...
  5. Bororo

    Wanawake tuheshimiane kitandani! Sio kila sehemu unapeleka mikono tu

    Kakufananisha na mkasi wa fundi cherehani kwamba hili ukate lazima utiwe vidole.
  6. Bororo

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Bina mlendamboga usinisahau katika ufalme wako ukipata hayo maelekezo
  7. Bororo

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Mkuu nipe kidogo maelezo ya hilo chimbo tafadhali.
  8. Bororo

    Vibamia vimetokea wapi, mbona havikuwa maarufu siku za nyuma?

    Tatizo ni mipochi manyoya yao mikubwa inatumika mno So wao wanahisi tuna midushe midogo sisi saizi hazijawai kubadilika toka enzi za wahenga
  9. Bororo

    Ooooh mwanamke chura..chura my foot

    Kuna manzi mmoja kitaa FLAT alikuwa anajitapa kuwa wanaume wengi pale mtaani aliotembea nao wanavibamia,watu size tukasema isiwe tabu ngoja tikajaribu ..Dah! Manzi alikuwa anakibubu kikubwa kiwango cha changalawe. Zingatia hili kabla ya kuwaita wanaume vibamia jichunguze wewe unaweza kuta una...
  10. Bororo

    Antony Diallo anena kuhusu yanayoendelea nchini

    Diallo anajitambua kama nae yupo kwenye kundi watanzania anao wazungumzia? Inatakiwa aanze kutoa boriti iliyopo jichoni kwake kabla ya kutoa kinywele cha jichoni kwangu.Akumbuke kuwa "All Tanzanians are equal but some Tanzanians are more equal than Others.
  11. Bororo

    Mtanie wa juu yako

    Tazama vidole vyake ka tangawizi
Back
Top Bottom