Recent content by BornlessOne

  1. BornlessOne

    Dark days 17/03/20

    Aliyenzisha hii thread amewapatia sana. Amefanikiwa kutengeneza kichaka reliable kwa ajili ya kufanya spinning kwa namna anayotaka. Amewavuta, akawajaza na mmejaa haswa kama makoala!
  2. BornlessOne

    PreGE2025 Chadema kukusanya saini million 15 nchi nzima za Watanzania wanaounga mkono kampeni yao ya mabadiliko nchini na kisha kuiwasilisha kimataifa

    Wewe unadhani walioanzisha huo utaratibu hawakuwaza kuhusu hicho unachokifikiria. Au unadhani hiyo imekuwa ni mambo ya referrals za online jobs.
  3. BornlessOne

    PreGE2025 Mwanaharakati wa haki za Binadamu Agather Atuhaire, apatikana baada ya kutupwa mpaka wa Tanzania-Uganda, Mtukula

    Hawafanyi kumuharibia, kwani hukusikia amewapa baraka zote? Na hata hivyo weledi wao wa kulitumikia taifa umeishia hapo, tusitegemee cha maana zaidi.
  4. BornlessOne

    PreGE2025 Rais Samia: Vyombo vya ulinzi na usalama msiruhusu watovu wa nidhamu (wanaharakati) wa nchi nyingine kuja kutovuka nchini

    Wale mliokuwa mnasema... Oooh, mama anahujumiwa! Ooh yeye hausiki! Nadhani mmepatajibu.
  5. BornlessOne

    Wanatafutwa wauguzi wa kujitolea kwa mkataba ,

    Mnahitaji wangapi, tusije tukaanza kusumbua watu kumbe nafasi mlizonazo ni mbili.
  6. BornlessOne

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Mkuu, jamaa amepangilia vizuri story yake na ina mtiririko mzuri bila shaka. Utakuwa umekosea kufuatilia kutokana na namna post zinavyokuwa updated hapa jf.
  7. BornlessOne

    Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?

    Joannah ukiwa tayari nijulishe tuongozane.
  8. BornlessOne

    Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?

    Nipe maelekezo na mimi nifike huko kwenu.
  9. BornlessOne

    Naiogopa miaka yangu 40

    Tuliza kitenesi mkuu. Alafu pia jitambue wewe ni mwanaume.
  10. BornlessOne

    Konyagi zenye fleva ndani zinauzwa wapi?

    Ukinywa ya ginger & lemon ni kama unakunywa fruto, sijaielewa kabisa.
Back
Top Bottom