Hakika kutafuta kuongezea ndo kupoteza hata kile ulicho nacho, tokana na matumizi ya nembo taifa na maelezo mazuri nkajua ntatoka kwa syle ile kumbe ndo natolewa knock out kulizwa tsh.37elfu bila ya matumaini ya dakika45. Sijui ntamlilia nani tena na cm ndo wamefunga...
ni hisia na matakwa ya chama tawala kuwapigia debe heb jipange na ulete maada nyingine naona maruerue. Cjapata hoja ya msingi hata moja kwa rais wa mby unazo wasilisha maana uamuzi n wetu wapiga kura na maendeleo yaonekanayo mitaan na ci porojo majukwaani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.