Recent content by Bornacy

  1. B

    Picha na habari Live toka uwanjani Arusha

    Tupia kitu cha picha ya Nyomi Bwana dah!
  2. B

    Wabunge CCM wamkamia JK • ANAKUTANA NA WABUNGE WA CCM LEO DODOMA

    Ntashukuru sana endapo kikao kizima kitaisha kwa mada kuu CHADEMA
  3. B

    Kifo cha CCM kimetimia

    Tazama nini tafsiri ya matatizo yanayolikumba taifa kwa sasa?
  4. B

    Kifo cha CCM kimetimia

    Hoja imeungwa mkono.
  5. B

    Wizi mtupu huu

    Hakika kutafuta kuongezea ndo kupoteza hata kile ulicho nacho, tokana na matumizi ya nembo taifa na maelezo mazuri nkajua ntatoka kwa syle ile kumbe ndo natolewa knock out kulizwa tsh.37elfu bila ya matumaini ya dakika45. Sijui ntamlilia nani tena na cm ndo wamefunga...
  6. B

    Mitafaruku bungeni

    Maelezo hayajakamilika bado toa yanayojiri ndo uhabarishaji mzuri co wote wanafuatilia wengine tupo kimtandao zaidi!
  7. B

    Mkutano wa CHADEMA Njombe na Matukio yake

    ushauri wa bure tafuta TECNO T605 utaona matunda ayo
  8. B

    Hongera Mh.William Vangimembe Lukuvi

    Hilo ni tangazo tu
  9. B

    Lusinde: Serikali isifikirie adui ni CHADEMA, ni watendaji!

    Hujajua wapinzani watatembelea Jimbon kwake ndo maana anafuta kauli
  10. B

    Lusinde: Serikali isifikirie adui ni CHADEMA, ni watendaji!

    Ckajua wapinzani wanaelekea jimboni kwake
  11. B

    Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

    Nimeipenda sana tusiende mbali sana kuumiza vichwa
  12. B

    Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

    ni hisia na matakwa ya chama tawala kuwapigia debe heb jipange na ulete maada nyingine naona maruerue. Cjapata hoja ya msingi hata moja kwa rais wa mby unazo wasilisha maana uamuzi n wetu wapiga kura na maendeleo yaonekanayo mitaan na ci porojo majukwaani.
  13. B

    PICHA: Yaliyojiri katika mkutano wa CHADEMA Mbeya - Aprili 24, 2013

    Umekosea mlango heb pita tu njia na uende
Back
Top Bottom