Nawasalimu kwa upendo wa dhati.
Nimekuwa nikipata changamoto kwenye mwili wangu hasa KUVIMBA kwa mwili NGOZI kuwashwa kupata viupele na kuacha alama pale ninapojikuna.
Tatizo hili lilianza taratibu na limekuwa likikua siku hadi siku, ilianza nikila matunda hasa matikiti mwili unaniwasha Sana...
Habari wanajamvi?
Katika harakati zangu za kujitafutia mkate wangu wa kila siku leo nimefika mahala nikakutana na vijana watatu na mzee mmoja wa makamo.
Watu hao walionekana wafanyakazi wa kampuni fulani, katika mazungumzo kijana mmoja alimuuliza yule mzee swali ambalo lilikosa majibu.
Swali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.