Recent content by BORALIENDE

  1. B

    Jimbo la Tundu Lissu lina hali mbaya, hakuna maendeleo yoyote

    Kazi za Mbunge ni:- 1. Kushiriki kutunga sheria za nchi 2.Kuwasilisha mahitaji ya jimbo lake bungeni Mbunge anapimwa kwa factor hizo hapo juu. ikumbukwe pia kuwa moja ya kazi za serikali ni kushughulikia mahitaji yaliyowasilishwa na mbunge bungeni... Sasa labda mleta taarifa utuambie kuwa...
  2. B

    Ukwepaji Kodi: Barua ya TRA kwa Bakhressa

    Yesu alisema "tajiri kuuona ufalme wa Mungu ni sawa na ngamia kupenya kwny tundu la sindano" Sasa naanza kuelewa.
  3. B

    Kwanini namchagua Lowassa

    Lowassa peke yake ndo ana kashfa kwny timu ya UKAWA, na kashfa zake CCM wameshindwa kututhibitishia kwa kumuwajibisha,wengine wote kuanzia babu Duni na wengine hawana mawaa na siku zote wamekuwa wakihubiri haki na kutaka katiba bora inayosimamia misingi ya utawala bora. Itakuwa ngumu sana kwa...
  4. B

    Wananchi wameshindwa kuelewa maana ya mabadiliko

    Jifunze kutofautisha matumizi ya "r" na "L"
  5. B

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Kwa wastani unaweza pata kilo 400-600 kwa heka, inategemea na matunzo, ukishindwa kuhudumia vizuri hata kufikisha kilo 300 ni mtihani.
  6. B

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Kwa wanaofahamu masoko tafadhali tusaidiane. Ninatarajia kuvuna soon, nililima Mkuranga.
  7. B

    Masikini Bayern Munchen

    Angalieni utumbo wenu wa last week.,,Bayern kapita
  8. B

    On a diet but don’t weigh yourself every week?

    Good advice, it keeps you focused to the intent.
  9. B

    Mwongozo wa ufugaji wa kisasa wa Mbuzi wa nyama na maziwa

    Wadau habari za humu, nipo na mpango wa kufuga mbuzi pembeni ya mji wa Dar Es Salaam. Kuna mdau yeyote mwenye clue ya hii shughuli? Wapi naweza kupata mbegu nzuri za mbuzi wa kienyeji wa kuanzia?
  10. B

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Ninalima Mkuranga mwaka huu, tutafahamishana nitakacho-experience, ntaanza na ekari 10. Asanteni kwa experiences zenu.
  11. B

    Masikini tanzania na majanga

    Ni shida...Lakini raisi wenu si docta?
  12. B

    Je, Vyombo vyetu vya habari ni waoga au hawajasikia kuhusu kashfa ya pembe za ndovu.

    Kikwete anaitafuna hii nchi, na nyinyi vijana mnaokazana kutetea huu upuuzi nahisi mna 'serious problem'
  13. B

    Je, Vyombo vyetu vya habari ni waoga au hawajasikia kuhusu kashfa ya pembe za ndovu.

    Jaslwas...angalia hii link http://youtu.be/tlOPJ3ffgl8 Hapo kikwete mwenyewe kakiri TEMBO WANAPUKUTIKA TANZANIA....wewe unaleta blahblah zisizo na kichwa wala mkia. Mnadhani kila wanachosema wazungu ni jealosy, usikurupuke bro!
Back
Top Bottom