mpekuzifacts
Member
- Feb 12, 2015
- 60
- 10
Au ndio maana kahamishwa?!
Jenifa , huelewi hata unachosema ni nini. Itakuwa umechanganyikiwa na kasi ya utendaji wa Hon Dr H Mwakyembe.
Jenifa tunajua wewe ni bendera fuata upepo.
Au ndio maana kahamishwa?!
Mwongo mkubwa wewe. Hili dili la Mwakiembe mwenyewe na ndio maana aliondolewa wizara ya uchukuzi.
Alipiga dili la mabehewa na kule bandarini akapata bilioni ya kununua kiwanja kule Bahari Beach zingine alitaka ziwe za uchaguzi kule kwao Kiela ambako watu hawamtaki.
Hii ripoti alikabidhiwa tokea tarehe 01/12/2015 lakini hakuitangaza mpaka Sitta alivyokuja na kuwaambia kamati wamkabidhi yeye.
Hili ndilo lilifanya Mwakiembe aondolewe Ikulu. Kama mnabisha mwambie aipeleke mahakamani gazeti la Jamhuri lililoandika kuhusu ufisadi wake. Taarifa zote wanazo na hata alivyolipa pesa kule Yono Auction Mart kununua kiwanja kutoka kwa mzungu wa Kijerumani.
Jenifa naona unaugua ugojwa usioeleweka
. Umeng'ang'ana wewee Ohhh Mwakyembe kanunua kiwanja bahari beach. Tunachotaka kutoka kwako ni ushahidi wa docs na sio maneno ya Kariakoo shimoni.
Tuwekee vithibitisho. Nenda kwa huyo Yono wako akupe ushahidi. Usituletee maneno ya kwenye taarabu ya mzee Yusuf, tunataka ushahidi.
Kama huna ushahidi Nenda kwenye kazi yako ya kucheza baikoko au kanga moko, huku sio kwako hakukufai.
Serikali Ya nne imewalea Hadi hatuwawezi tena watu wanaohujumu uchumi wetuTaarifa za uwakika pasipo shaka yoyote kutoka kwa mmoja wa wajumbe wa tume ya uchunguzi wa ununuzi wa mabehewa ya TRL iliyoundwa na aliyekuwa Waziri wa uchukuzi ambao wamekabidhi ripoti yake kwa Mhe. Sita Waziri wa sasa wa uchukuzi imeweka wazi jinsi wataalam wa TRL walivyofisadi
Nchi kwenye ununuzi wa haya mabehewa.
Mojawapo ya maajabu ya Musa kama siyo ya firahuni ni pale hawa wataalam walipobadilisha specification s na baadhi ya vipengele vya mkataba baada ya ukaguzi nchini India ili mkataba ukidhi walichokuta huko na siyo mtengenezaji atengeneze kwa mahitaji
yetu... Bila huruma wala weledi wakaweka matumbo yao Mbeleeee.
Tumwombe Mhe. Waziri awachukulie hatua stahili na wapelekwe Kmahakamani kwa kuhujumu uchumi na siyo kuwahamishaa.
Tegemea report kamili hapa .....
Mwongo mkubwa wewe. Hili dili la Mwakiembe mwenyewe na ndio maana aliondolewa wizara ya uchukuzi.
Alipiga dili la mabehewa na kule bandarini akapata bilioni ya kununua kiwanja kule Bahari Beach zingine alitaka ziwe za uchaguzi kule kwao Kiela ambako watu hawamtaki.
Hii ripoti alikabidhiwa tokea tarehe 01/12/2015 lakini hakuitangaza mpaka Sitta alivyokuja na kuwaambia kamati wamkabidhi yeye.
Hili ndilo lilifanya Mwakiembe aondolewe Ikulu. Kama mnabisha mwambie aipeleke mahakamani gazeti la Jamhuri lililoandika kuhusu ufisadi wake. Taarifa zote wanazo na hata alivyolipa pesa kule Yono Auction Mart kununua kiwanja kutoka kwa mzungu wa Kijerumani.
Hua najiulizaga ninini kilicho mfanya rais kumuhamisha mwakiembe kwenye wizara hii alafu hua sipati majibu,
kikwete kwa nini ulimhamisha huyu jamaa Mh MWAKYEMBE ukapeleka mbemendaji 6 wanaua bandari sasa watafuata na reli ajali kila siku mkemee afanye kazi asitumie kigezo cha kukuzidi umri
Jenifa naona unaugua ugojwa usioeleweka
. Umeng'ang'ana wewee Ohhh Mwakyembe kanunua kiwanja bahari beach. Tunachotaka kutoka kwako ni ushahidi wa docs na sio maneno ya Kariakoo shimoni.
Tuwekee vithibitisho. Nenda kwa huyo Yono wako akupe ushahidi. Usituletee maneno ya kwenye taarabu ya mzee Yusuf, tunataka ushahidi.
Kama huna ushahidi Nenda kwenye kazi yako ya kucheza baikoko au kanga moko, huku sio kwako hakukufai.
!!!!! Bibi Jenifa weka kumbukumbu zako vizuri...mwezi aw pili Mhe. Sita alipotembelea TRL kwa Mara ya 2 aliwaambia anaitaji hiyo report haraka. Tumia hesabu rahisi za kujumlisha na kutoa Kibibi..angekuwa na hiyo report why aulize tena. Alichofanya Mwakyembe ni kuwasimamisha wale wote waliohusika direct na issue akaunda team ikiongozwa na wahandishi wanaoheshimika kutoka nje ya TRL waje na details of what happen ili wote waliohusika direct and indirect wapelekwe kwa Pilato....Kisutu. ...Kamati ndio imeelezea hayo yote.
Mwongo mkubwa wewe. Hili dili la Mwakiembe mwenyewe na ndio maana aliondolewa wizara ya uchukuzi.
Alipiga dili la mabehewa na kule bandarini akapata bilioni ya kununua kiwanja kule Bahari Beach zingine alitaka ziwe za uchaguzi kule kwao Kiela ambako watu hawamtaki.
Hii ripoti alikabidhiwa tokea tarehe 01/12/2015 lakini hakuitangaza mpaka Sitta alivyokuja na kuwaambia kamati wamkabidhi yeye.
Hili ndilo lilifanya Mwakiembe aondolewe Ikulu. Kama mnabisha mwambie aipeleke mahakamani gazeti la Jamhuri lililoandika kuhusu ufisadi wake. Taarifa zote wanazo na hata alivyolipa pesa kule Yono Auction Mart kununua kiwanja kutoka kwa mzungu wa Kijerumani.
Jenifa naona unaugua ugojwa usioeleweka
. Umeng'ang'ana wewee Ohhh Mwakyembe kanunua kiwanja bahari beach. Tunachotaka kutoka kwako ni ushahidi wa docs na sio maneno ya Kariakoo shimoni.
Tuwekee vithibitisho. Nenda kwa huyo Yono wako akupe ushahidi. Usituletee maneno ya kwenye taarabu ya mzee Yusuf, tunataka ushahidi.
Kama huna ushahidi Nenda kwenye kazi yako ya kucheza baikoko au kanga moko, huku sio kwako hakukufai.