Recent content by Boondocks

  1. B

    Dark days 17/03/20

    Doooh
  2. B

    Kamisheni ya ngumi za kulipwa Tanzania mtatuambia nini kuhusu pambano la Mwakinyo?

    We mwenyewe hujalala umekesha unamsubiria apigane...
  3. B

    Kamisheni ya ngumi za kulipwa Tanzania mtatuambia nini kuhusu pambano la Mwakinyo?

    Boxing ni mchezo wa majigambo, hao wandaaji ndio wa kupelekewa lawama.. Mwakinyo hausiki na chochote, mwenyewe kapotezewa muda na nguvu... Sisi watanzania ni wajinga sana, tunaacha kupeleka lawana panapostahili tunamlaumu Mwakinyo, tungekuwa serious tungerudishiwa viingilio vyetu. Nchi imejaa...
  4. B

    Nick Minaji akamatwa na Dawa za Kulevya!

    Umetumia Google translate?
  5. B

    Rais Magufuli, BoT wamefanyaje kuifanya Tsh. kuwa stable against USD?

    Weka namba za ukweli tumsute...
  6. B

    Rais Magufuli, BoT wamefanyaje kuifanya Tsh. kuwa stable against USD?

    Mwenzio kaja na namba, kusema tu muongo bila kuthibitisha haitoshi... Njoo na namba zako tumkamate. Namba hupingwa kwa namba.
  7. B

    Diamond Platnumz 'Waaah' Ft Koffi Olomide

    Wimbo wa kawaida sana huu, i expected more from the two.
  8. B

    Hawa ndiyo wasanii waliovuma sana mwisho wakasanda

    Prof. J hajawahi kuwa wateule, wateule iliundwa na Moe, Mox,Jaffarie na Kevin. Mkiwa sio wimbo wa Daz, ni wimbo wa dogo mmoja anaitwa K sal,sema alikuwa anamuiga Ferooz.
  9. B

    GE2020 Dar: Tundu Lissu akamatwa na Polisi, aachiwa bila masharti

    Kwa hiyo wote ambao hawajachaguliwa waende jela?
  10. B

    Haya maneno ya Kanye West yamenikasirisha. Kwani anaichukuliaje RAV 4?

    Next time am in church, please no photos... Akiwaambia paparazzi.
  11. B

    Salama na Fatma Karume (Shangazi)

    Ila wabongooo! Unaongea kwa confidence kabisa.
Back
Top Bottom