Boxing ni mchezo wa majigambo, hao wandaaji ndio wa kupelekewa lawama.. Mwakinyo hausiki na chochote, mwenyewe kapotezewa muda na nguvu...
Sisi watanzania ni wajinga sana, tunaacha kupeleka lawana panapostahili tunamlaumu Mwakinyo, tungekuwa serious tungerudishiwa viingilio vyetu.
Nchi imejaa...
Prof. J hajawahi kuwa wateule, wateule iliundwa na Moe, Mox,Jaffarie na Kevin.
Mkiwa sio wimbo wa Daz, ni wimbo wa dogo mmoja anaitwa K sal,sema alikuwa anamuiga Ferooz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.