CHADEMA wanamkana Tundu Lissu kisayansi kama walivyomtenda Dkt. Slaa, Lissu hana nafasi tena CHADEMA!

Kwanza hakuna mtu anayeweza kumvua uanachama wa CHADEMA Mdee kwa sababu ana mizizi ndani ya chama kama alivyo Freeman Mbowe, Lucy Owenya na Grace Kihwelu.

Pili, Mnyika anajaribu kufahamu kinachoendelea lakini hakijui na siku ya Ijumaa ndio atakijua na huenda akajiuzulu.

Mzee Lowassa aliondoka CHADEMA lakini mzimu wake bado unaitafuna na hasa ule uwekezaji wake katika saikolojia ya wanachama wa CHADEMA.

Kiufupi, harakati za Tundu Lissu na amri zake haziendani na utamaduni wa CHADEMA na mabwanyenye wa Ufipa st hawazifurahii kwahiyo lazima waachane naye kisayansi.

Halima Mdee na wenzake wataruhusiwa na kamati kuu kuendelea na Ubunge na ambaye hatafurahishwa ataruhusiwa ama kujiuzulu nafasi za uongozi au kujivua uanachama.

Mungu wabariki wabunge wa CHADEMA.

Maendeleo hayana vyama!
Ninyi watu wa mbogamboga mbona mnahangaika sana? Mnaogopa nini?
 
Uamuzi wa hekima ni kuwaruhusu akina Halima Mdee kuendelea na Ubunge! Mnyika amejaribu sana kuwa defensive dhidi ya Mbowe ila tu anajaribu kum- tantalize Tundu Lissu.

Hata hivyo Tundu Lissu siyo mwanasiasa makini bali ni mwanaharakati mropokaji tu! Huwezi kuwa unatoa matamko yako binafsi then unataka yawe ndo msimamo wa CHADEMA.

Gharama ya kuwapoteza Tundu Lissu na Mnyika (ajiuzulu) ni ndogo kuliko kuwavua Wanawake hao 19 uanachama na hatimaye kuwataka wapoteze Ubunge wao ambao wamepata kwa mujibu wa sheria za JMT na si hisani.

CHADEMA mkijifanya ujuaji na ulimbukeni wa kuendeshwa na mihemuko ya social media warriors kama akina Kigogo 2014 tambueni imekula kwenu!

Vumbi la mgogoro wenu utatulia 2025 imefika na hamtapata hata Madiwani 10 Nchi nzima achilia Ubunge mtakaousikilizia Redioni tu.

Time is the best Judge let's wait and see!
FK
Nimekuelewa bwashee!
 
Na ukisikia katikati ya maneno ya Mdee kiongozi pekee Chadema aliyemtaja ni Mbowe.

...... nakishukuru chama changu......namshukuru mwenyekiti wangu....

Kwanini sio katibu au uongozi wa chama?

Kuna kitu hapa
Ameshindwa hata kuishukuru kamati kuu.

Halima James Mdee ni mbabe mbabe sana!
 
Si ameshaapishwa
Yaani wizi wenu wa kishamba mliiba bila kujua kunatakiwa upinzani ndani ya bunge ili beberu walete trl 2 kila mwaka kwenye bajeti sasa wamekuja kushtuka ndiyo mnahangaika kiasi hiki!

Na beberu amechomoa kuleta vidonge vya ukimwi uko! Hata hiii trl 2 wanapambania waletewe na beberu msahau beberu haleti kitu mbona tutaelewana tuuuuuu
 
Yaani wizi wenu wa kishamba mliiba bila kujua kunatakiwa upinzani ndani ya bunge ili beberu walete trl 2 kila mwaka kwenye bajeti sasa wamekuja kushtuka ndiyo wanaangaika kiasi hiki! Na beberu amechomoa kuleta vidonge vya ukimwi uko! Hata hiii trl 2 wanapambania waletewe na beberu msahau beberu haleti kitu mbona tutaelewana tuuuuuu
Ww unadhani nitaathirika mimi tu na hiyo ishu ya ukimwi kama vidonge havipo?? au wale wenye ukimwi wakifa wewe na wenzenu ndio mtakua mmesaidia nini kwenye familia zao na maisha yao??
 
Kiburi na ubabe havina faida, eti nchi huru, huku mknakandamiza haki za binadamu. Minuend dawa za Ukimwi sasa.
 
Kiburi na ubabe havina faida, eti nchi huru, huku mknakandamiza haki za binadamu. Minuend dawa za Ukimwi sasa.
We unaongea na kujiaminisha kana kwamba wewe ukimwi hauwezi kukupata, au labda walioupata wana laana fulani, kumbe huijui kesho yako!
 
We unaongea na kujiaminisha kana kwamba wewe ukimwi hauwezi kukupata, au labda walioupata wana laana fulani, kumbe huijui kesho yako!
Viongoz feki wa ccm washazoe kula matapishi yao walilalamika kuwa kukiwa na wabunge wa upinzani tz haitasonga mbele kwa maendeleo maana wanakwamisha maendeleo ,hawa ccm feki wasiojitambua wakatumia kila mbinu kuhakikisha wapinzani wanaporwa ubunge na urais kwa kutumia tume ya uchaguzi feki iliyojaa makada wa ccm iliyoundwa na Magufuli ikisaidiwa na policcm wakafanikiwa hila zao,leo hii wameona wamefanya usenge wanang'ang'ana kutengeneza wabunge feki wa upinzani hii ni kula matapishi yao. Wameona aibu kukaa na vikao vyao vya ccm bungeni wanaforce wabunge feki wa upinzani huku ni kufilisika akili kwa rais feki Magufuli na genge lake la ccm, yy akae na maccm wenzake alete maendeleo aliyosema wapinzani wanakwamisha!!!

1606389473242.png
 
Mnyika ni kama Dr.Slaa wanasimamia wanachokiamini.!
 
Leo Mdee amekua mheshimiwa, siku chache nyuma mlimtukana matusi yote.
Toka aapishwe amekuwa mheshimiwa mbunge. Kipindi kile alishindwa na Gwajima akapoteza uheshimiwa wake.

Hongera Mdee kwa kuukwaa uheshimiwa kibabe zaidi.

Tunataka wanawake majembe kama Mdee, Bulaya na Matiko na wengine. Hawataki kupoteza fursa wakati wameitafuta kwa jasho lao na imepatikana kisha wahuni wachache wanajua kabisa walishindwa wanaleta upuuzi wakati wanakula upepo Ulaya WANAWAKE wenzao waendelee kuchakaa mitaani.

Hongera mheshimiwa Mdee
 
Kwanza hakuna mtu anayeweza kumvua uanachama wa CHADEMA Mdee kwa sababu ana mizizi ndani ya chama kama alivyo Freeman Mbowe, Lucy Owenya na Grace Kihwelu.

Pili, Mnyika anajaribu kufahamu kinachoendelea lakini hakijui na siku ya Ijumaa ndio atakijua na huenda akajiuzulu.

Mzee Lowassa aliondoka CHADEMA lakini mzimu wake bado unaitafuna na hasa ule uwekezaji wake katika saikolojia ya wanachama wa CHADEMA.

Kiufupi, harakati za Tundu Lissu na amri zake haziendani na utamaduni wa CHADEMA na mabwanyenye wa Ufipa st hawazifurahii kwahiyo lazima waachane naye kisayansi.

Halima Mdee na wenzake wataruhusiwa na kamati kuu kuendelea na Ubunge na ambaye hatafurahishwa ataruhusiwa ama kujiuzulu nafasi za uongozi au kujivua uanachama.

Mungu wabariki wabunge wa CHADEMA.

Maendeleo hayana vyama!
Think tank wa Lumumba hapo ndio mmekaa majiniasi uchwara wa Lumumba mkatoka hili bonge la propaganda ? Kwa akili yenu mkajiona mmewazaaa? Mmebuniii ?
 
Viongoz feki wa ccm washazoe kula matapishi yao walilalamika kuwa kukiwa na wabunge wa upinzani tz haitasonga mbele kwa maendeleo maana wanakwamisha maendeleo ,hawa ccm feki wasiojitambua wakatumia kila mbinu kuhakikisha wapinzani wanaporwa ubunge na urais kwa kutumia tume ya uchaguzi feki iliyojaa makada wa ccm iliyoundwa na Magufuli ikisaidiwa na policcm wakafanikiwa hila zao,leo hii wameona wamefanya usenge wanang'ang'ana kutengeneza wabunge feki wa upinzani hii ni kula matapishi yao. Wameona aibu kukaa na vikao vyao vya ccm bungeni wanaforce wabunge feki wa upinzani huku ni kufilisika akili kwa rais feki Magufuli na genge lake la ccm, yy akae na maccm wenzake alete maendeleo aliyosema wapinzani wanakwamisha!!!

View attachment 1635217
hivi wabunge wazoefu kama Mdee wanawezaje kwenda mpaka mbele ya spika na kuamua kuapa bila mawasiliano yoyote na uongozi wa juu wa chadema?? mbona hilo hulisemei unapambana na ccm tu??? una nini kichwani mwako wewe??
 
Think tank wa Lumumba hapo ndio mmekaa majiniasi uchwara wa Lumumba mkatoka hili bonge la propaganda ? Kwa akili yenu mkajiona mmewazaaa? Mmebuniii ? Huyo anayewalipa hamnazo kichwani kabisaaa .
Wewe hata kuisogelea gari ya Halima James Mdee huwezi!
 
Back
Top Bottom