Recent content by Bookschool

  1. B

    Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

    Sina la Kusema, bali naamini MUNGU ALIYE HAI, MUNGU MWENYE UPENDO KAMILI, MUNGU MTAKATIFU MWENYE USHINDI ATASIMAMA, Ukweli utakuja kuonekana wapi na Ushindi wapi. TUMUACHIE MUNGU, YEYE ATAONYESHA. MUNGU MKUU ATASIMAMA!
  2. B

    Chikawe awakemea Mwakyembe na Sitta: Waache kuzungumzia DOWANS

    Chikawe wewe ni mtu mzima na tunakuheshimu, lakini kama unataka kuwa kama Mzee Makamba, BASI JARIBU Kutetea Ufisadi Uone
  3. B

    Dr Slaa vs Makamba

    Chechekali: Makamba ndio kichwa cha CCM?, ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha aha ha ah aha ha ha aha ha ha aha ha aha ha aha ha aha ha aha ha aha aha ha ah aha aha ha aha ha aha aha ha aha ah aha aha ha ha aha aha na anaaha aha ha haanhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
  4. B

    Juu ya DOWANS: Mwakyembe ashangaa kutaka kulipa matapeli

    Yaani hapa moja kwa moja inaonekana SERIKALI haiko na sisi Wananchi
  5. B

    Maaskovu Vs. Makamba na mgongano wa Arusha

    Safi saaaana, makamba nazani AMEISHIWA. Makamba nampa ushauri, Hajue kizazi hiki na Nyakati hizi sio zile za kipinde kile kwamba Woteeee ni CCM wa kila kitu NDIO, uongo NDIO, zambi NDIOO....Hapana, Nyakati hizi watu WAMEFUNULIWA, si wajinga na wapumbavu kama zamani, Watu WAMEFUNULIWA Uchafu na...
  6. B

    Natamani mwisho wa dunia ufike

    Ndugu zangu mi NATAMANI MWISHO DUNIA Ufike, maana Nimechoka na Matendo na Mambo yanatokea Nchii hii Tanzania, Kwani naw....... Sukari Juu, Unga Juu, Mafuta Juu, Umeme Juu, Maji Juu, Maharage nayo kimbilio JUU. Sasa Wananchi wasio na uwezo au Kazi watafanyeje?, Na bado tena Siasa hiyo? Nazan...
  7. B

    Maandamano ya CHADEMA Arusha: Mabomu yarindima, raia wauawa na viongozi wakamatwa

    Ndugu Watanzania wenzangu, nazani mnaelewa na mna habari kilichotokea huko Arusha, Sasa sielewi Nifanyeje? Kwani Kama Uchungu naweza kupata PRESSURE kabisa, sasa sijui Nilie au Niomboleze au Nikae Kimya? SIJUI nifanyeje, Hebu nipeni Ushauri, maana kila siku Uchungu unazidi
  8. B

    Serikali onyesha uadilifu, mfukuze mhariri wa gazeti lako la habari leo

    Originally Posted by mnyagundu Hana kosa hapo! Isitoshe kanisa katoliki limejaa uchafu mkubwa! Linaunga mkono siasa za chadema lina wagawa watanzania! Ni kanisa la wahuni tupu! - mnyangundu POTEAAAAAAAAAAA, Omba msamaaa mwenyewe HUSICHEZE na IMANI, Pili SIO VIZURI Kukashifu au Kuongelea...
  9. B

    Nataka niuze nchi ya Tanzania nifanyeje?

    Samahani Watanzania wenzangu natamani kuuza nchi hii na nyinyi nyote mliomo ndani, ikiwezekana labda muhamie nchi nyingine. Mnaweza kunisaidia kujua Procudure za kuuza? ANYONE who tired.
Back
Top Bottom