Mimi kama mtanzania naomba tuwe pamoja kuiomba serekali ifunge mipaka watu kwenda nchi zilizoathirika kwa ukubwa kama basi kufunga kabisa imeshindikana. Na ukiangalia case zote za ugonjwa zimepatikana within this march. Nimeona bado watu wanasafiri sana kwenda china. Please serikali isikie kilio...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Naomba kufahamu namna gani nitapata namba ya kitambulisho haraka iwezekanavyo ikiezekana baada ya week mbili kwani nina safari ya ghafla na habari nilizopata inabidi usubiri baada ya mwezi kupata namba ambayo itaniwezesha kupata passport ya kusafiria. Jibu...
Kama ni kweli majizzo kazaa na Salma Msangi basi naomba niseme Majizo kashindikana tabia, Maskini Lulu na uzuri wote ule bado mwanaume kaenda kuzaa na mtu mwingine
Kuna wanaume mnavyolalamika wanawake viuno vigumu oh hatujui mapenzi na wanaume pia wapo. Unakuta mwanaume wakati wa show hatoi ata sauti kimya kama bubu. Ni kuingia na kutoka..
Kuna wanaume bwana kabla ya tukio ataandaa wine mnalegea, sauti sasa za pale kati. Utapigwa deki utaita hadi mizimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.