bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,705
Ndiyo dawa yenu..!Ulale hukohuko![]()
![]()
![]()
Ndiyo dawa yenu..!Ulale hukohuko![]()
![]()
![]()
Ikibidi uende tu na marehemu.Vibaya hivyo
PoleNilipoachwa niliumia sana, nilihitaji walau nipate furaha kwa siku moja. Aliye niacha alifahau kabisa udhaifu wangu na alininyanyasa sana. Nilikua mpweke, dhaifu na mwenye mawazo. Hakuna aliyejua, kwaiyo niliteseka sana. Hakuna aliyenifariji, nilibaki naugulia tu.
Maumivu yalidumu kwa muda mrefu, hatimaye yaliisha.
Maisha yalibadilika, na hatimaye nikamsahau.
...Time heals...
Yani kwa ulivyo hilo swali tu mkuu, unaonekana ni mpenda matambo na limbukeni, inaweza pia ikawa moja ya sababu za kuachwaSiyo hela tu, Nina dollars, na siishi bongo

Umemuona eee wanawake hawataki watu kama haaoYani kwa ulivyo hilo swali tu mkuu, unaonekana ni mpenda matambo na limbukeni, inaweza pia ikawa moja ya sababu za kuachwa![]()
![]()
![]()
Swali la msingi sana ningeuliza pia hivyoUna hela?


MADEM WALIVYOUMBWA sometimes HAWATAKI ATA SABABU, anaweza kukuacha tu bure bureHuenda nyuma ya kuchoka kuna kilichomchosha!
Kwa sasa hawezi kukuambia kwa kuwa wewe sio rafiki yake tena!
Pole.
ukiona kakuacha bila sababu ya maana, na kakutafutia sababu, wala usiumiee siku ipo huko alikokimbilia kuna siku ataachwa na atarudi kwako alishachelewa.Dah hatari sana
