Habari wanajamii nyoote..
Naombeni ufafanuzi kidogo, hivi ni kitu gani kinamfanya mtu kutoa maji maji kama jasho wakati wote na mwili mzima,,
Maana nimejaribu kudadisi lakini sijapata majibu na huyu mtu huwa anatokwa na jasho kila wakati hata awe kwenye ubatifi kiasi gani..
Sasa je! Ni ugonjwa...
Kampeni za uchaguzi mwakani zimeshaanza na ndiyo maana miradi yote inayofanywa sasa Kuisha kwake ni 2015 maana watasema tumejenga barabara ya mabasi yaendayo kasi, daraja la kigambon achilia mbali la salender Pamoja na boti ambayo itafanya safari kati ya bagamoyo na Dar es salaam..
Hii kweli ni kero maana mwenyewe niishiko kelele za misikiti haziishi yaani ni kuanzia saa mbili usiku mara saa nane usiku tena saa kumi yaani kiukweli tunaomba serikali iliangalie hili kwa jicho la tatu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.