Recent content by Boniface Mwankenja

  1. Boniface Mwankenja

    KUTOKWA NA JASHO KILA MARA.

    Habari wanajamii nyoote.. Naombeni ufafanuzi kidogo, hivi ni kitu gani kinamfanya mtu kutoa maji maji kama jasho wakati wote na mwili mzima,, Maana nimejaribu kudadisi lakini sijapata majibu na huyu mtu huwa anatokwa na jasho kila wakati hata awe kwenye ubatifi kiasi gani.. Sasa je! Ni ugonjwa...
  2. Boniface Mwankenja

    Msafara wa Magari ya Jeshi la Kenya ukielekea Bukoba kutoa msaada kwa wahanga wa tetemeko

    Mungu huwa hata hawatupi watu kama hawa,,maana wanajitoa kila mara inapowalazimu. #SafeJourney
  3. Boniface Mwankenja

    Barabara juu ya bahari kupunguza foleni Dar, kuanzia Aga Khan hadi ufukwe wa Coco

    Kampeni za uchaguzi mwakani zimeshaanza na ndiyo maana miradi yote inayofanywa sasa Kuisha kwake ni 2015 maana watasema tumejenga barabara ya mabasi yaendayo kasi, daraja la kigambon achilia mbali la salender Pamoja na boti ambayo itafanya safari kati ya bagamoyo na Dar es salaam..
  4. Boniface Mwankenja

    'Uporaji Barclays Bank haukuwa kweli!'

    Mipango ya kumshirikisha mwanamke sio issue, Mumejitoa muhanga kiujinga ujinga.
  5. Boniface Mwankenja

    Nilichogundua kwa siku ya leo

    Ndege zipo hivyo mm sina wasiwasi kufika mbeya.
  6. Boniface Mwankenja

    Alex msama apata ajali

    Get well soon
  7. Boniface Mwankenja

    Hili daraja la Dumila hili!

    Imenilazimu kupita kilosa baada ya kukaa kwenye foleni kwa muda wa masaa mawili, serikali yetu hii sijui inatupeleka wapi sasa.
  8. Boniface Mwankenja

    Itungwe sheria kudhibiti matumizi ya Loud speaker katika nyumba za ibada

    Hii kweli ni kero maana mwenyewe niishiko kelele za misikiti haziishi yaani ni kuanzia saa mbili usiku mara saa nane usiku tena saa kumi yaani kiukweli tunaomba serikali iliangalie hili kwa jicho la tatu.
  9. Boniface Mwankenja

    Macho ya Bundi

    Tupia mambo ww mdada.
  10. Boniface Mwankenja

    Ukizaliwa masikini sio makosa. Ukifa masikini ni makosa yako mwenyewe bill gates

    Kama umepata mshukuru MUNGU lakini sio kuwa sema walio masikini.
  11. Boniface Mwankenja

    Basi la Hood lapinduka.

    Get well soon all majeruhi.
  12. Boniface Mwankenja

    Picha - Athari za kubeba madawa ya kulevya - (drug mules)

    Watumiaji endeleeeni na kutumia na wabebaji endeleeni kubeba na mshahara wake mtaupata mwisho.
Back
Top Bottom