mkuu hiyo namba 100 inazingua sana ni ngumu kupata watu wa customer care, nimejaribu sana sijapata kama unayo namba nyingine ya customer care ya airtel tafadhali nisaidie.
Sina kumbukumbu yoyote ya PUK, jana nimetoroka kazini nikaenda mlimani city nikakuta bonge la nyomi, nikipiga customer care haipatikani! Kuna jamaa yangu kaniambia ipo jinsi ya kupata PUK bila kwenda kupanga foleni au kuwasiliana na customer care ila kasahau, kwa anaejua naomba anisaidie.
mimi nadhani kwa mkristo haijalishi nani kachinja ila inategemea ni maneno gani yananuiziwa wakati wa kuchinja kama yanakwaza au la imani ya kikristo! je waislam wanaweza wakatuambia ni maneno gani (na maana yake) hunuiziwa wakati wa kuchinja ili tuweze ku judge kwa haki?
ccm kwa muda mrefu wamekuwa wakinufaika na mbinu yao ya kuwagawa wananchi kwa misingi ya udini,ukanda(ukabila) na hata itikadi za kisiasa ila wanapoelekea kwa kuendekeza ubabe wao na kuwaona wananchi waliowapa madaraka ni vilaza na watu wa kuburuzwa tu bila kujali hoja na maslahi yao, SASA...
hata kama miongoni mwao walikuwepo wanachama/wafuasi wa chadema ina maana hata chembe ndogo ya ufahamu wako inashindwa kukupa taarifa kuwa mkusanyiko ule haukuandaliwa na chadema na wala hakukuwa na matamko yoyote kutoka chadema!? sometimes unatia aibu kwa uwezo wako finyu wa kupambanua mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.