Recent content by Bongolima

  1. B

    TBC1 haina sauti kupitia Star times

    Namimi nilikuwa natatizo hilo nimelitatua km inawezekana saa 2:30 usiku nitakuwa nyumbani nitakueleza chakufanya ukiwa na Remoti ya startimes.kuna njia mbili ukishidwa yakwanza nitakuambia yapili
  2. B

    Wanaigunga wakumbuka Zitto alivyowaombea CCM kura gizani

    Wanakigoma kuna ukweli kwamba zito 2005 na2010 aliwashawishi wampigie ubunge yeye ila urais wampigie kikwete pia kikwete naye hakuenda kupiga kampeni jimboni kwa zito
  3. B

    TBC1 haina sauti kupitia Star times

    Hata mimi ninatatizo km hilo,Natumia star Times
  4. B

    Tumia sehemu Kubwa ya muda wako kufanya mambo ya msingi

    Wabongo tulio wengi tunataka mafanikio yaharaka tena yamambo makubwa.
  5. B

    Ambwene Mwasongwe (Mwamlenga)

    Nikweli mungu kampa karama yakueneza injili kwa njia ya iimbaji
  6. B

    Vurugu Ilula: Mwananchi afariki, Kituo cha Polisi chachomwa moto

    Jamani wadau nchi hii tunakwenda wapi.nimeangalia Tv 1,Channel ten,Itv hawajatangaza tukio hili la Ilula au wamezuiwa kuonyesha au tukio la uongo
  7. B

    Msimu wa mafenesi umeanza

    Uumbaji wamungu haudadisiwi.kumbuka jinsi alivyokuumba wewe
  8. B

    Picha: BAVICHA Washambulia Jimbo la Nkenge kama Nyuki

    Piga kazi bavicha msilale wakati ndio huu.wape elimu yakutambua haki zao.nyinyi ndio dira ya .maendeleo
  9. B

    Mgomo wa wafanyabiashara nchi nzima kesho

    Mnaochangia hii hoja nakuwaponda wafanyabiashara mmewahifanya biashara? Vimekaliwa vikao vingi kutatua jambo hili utekelezaji wake nishida.
  10. B

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Wana Arsenal wenzangu tusimulaumu wengar kila kitu.mbele tunamashindano mengi uefa,ligi kuu,Fa ,bado timu za taifa kunasababu gani yakumpanga Sanchez km hayupo fiti?
  11. B

    Kikwete: Atakaye peperusha bendera ya urais CCM atatokea kwa 'majaji'

    Ukawa ndio chaguo lawengi.hawana mtandoo wa mafisadi,nchi itarudi kwenye utawara sheria nao wapimwe utendaji wao kwamiaka mitano
  12. B

    Ni gazeti lipi linasema ukweli Tanzania?

    Magaziti mengi yananukuu habari za viongozi,habari mhimu za vijijini km kilimo, manyanyaso wanachi, huko magerezani vyakula .zaidi wanaandika habari za mjini
  13. B

    Kikwete: Atakaye peperusha bendera ya urais CCM atatokea kwa 'majaji'

    Nani atamteua magufuri ? Ccm hawa mafisadi wamteue awarudi wee subutu.hata kuongoza itakuwa kazi chama nizaidi yakiongozi ukienda mbio wanakutuliza.wapo wapi sokoine.kolimba.chifupa.nk
  14. B

    Kuhujumiwa kwa ITV katika king'amuzi cha STAR TIMES Dar

    Mtoa mada umesema ukweli. mie jana nimepanda juu ya Antena kurekebisha matokeo zingine zipo vizuri Itv imegoma.ila sisawa huo niwivu wakike
  15. B

    Kipanya katika ubora wake; wafuasi wa cuf sababu ya kupigwa kwao.

    Police kila mtupigapo namabomu tunayazoea. Ziandaeni famlia zenu mtaani kwakisasi
Back
Top Bottom