Recent content by BongoDecoElectronics

  1. BongoDecoElectronics

    Ndoto gani uliyowahi kuota ulivoshtuka ukashukuru kuwa ni ndoto sio uhalisia?

    Nliota nmefungwa jela hakuna siku nlishukuru kama sku ile baada ya kushtuka
  2. BongoDecoElectronics

    Hasara zipi uliwahi pata kutoka kwa mpenzi? Wa kwangu alinifukuzisha kazi benki

    Umemjibu bila ya kumuelewa alimaanisha jf humu kila mtu anajifanya ana maisha mazuri hata kama sio kwel.
  3. BongoDecoElectronics

    Suti ilivyoniletea heshima na kizahazaha usiku wa kuamkia leo

    Dah watu mnachukulia vitu seriously, big up mtoa mada
  4. BongoDecoElectronics

    Kujiunga live YouTube

    Acha akudanganye ukapigwe copyright huko
  5. BongoDecoElectronics

    Full video: Nyumbani kwa mtoto wa Bakhresa ni maajabu matupu, huwezi Amini

    Mikocheni wanakaa maskini? Mbona umekomalia kajenga nyumba katikati ya maskini? Ingekua manzese si ungekufa kabisa. Yani kwenye watanzania wenye wivu ww namba 1
  6. BongoDecoElectronics

    Full video: Nyumbani kwa mtoto wa Bakhresa ni maajabu matupu, huwezi Amini

    Yani ww ni bure kabisa. Kichwa kipo waz. Ulitaka akajengewe hotel ya nyota5 kiguma??
  7. BongoDecoElectronics

    Tabia na sifa za Paka ni za kushangaza

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  8. BongoDecoElectronics

    Wanawake wa Dar hivi huwa hamjaribiwi kutongozwa?

    Basi sawa ushajipatia malaya andaa 15000 ya kumpa
  9. BongoDecoElectronics

    Kujiunga live YouTube

    Sub 1000 na upo verified
Back
Top Bottom