Nyumba kuukuu (iliyo katika kiwanja chenye nafasi ya kujenga nyumba nyingine (mita 25 kwa mita 70),inauzwa Kimara mwisho,mita 700 toka Morogoro Road,pembeni ya barabara iendayo Bonyokwa,eneo linaloitwa Ghorofani/makaburini.
Sababu ya kuuzwa ni kwa ajili ya matibabu ya mmiliki wake.
Bei ni...