Iweke pesa mkuu kama elfu saba ivi watatoa kama elfu nne nafikiri huwez link card ambayo haina balance, Ikizingua Apo Rudi Crdb wakupe fomu ujanze Ya ku ruhusu ifanye miamala ya online, Mimi na recommend Bank ABC au Equity si wasumbufu
Msheshimiwa Raisi mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tunakutakia Maisha marefu na tunashukuru sana Kwa kulitumikia Taifa hili, Mungu akupe maisha marefu ni furaha yetu kukuona bado na afya safi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.