Tatizo la mnyika ana maeneo anawapa kipaumbele km mabibo, ubungo na manzese, huku haji ana diwan wake anaitwa manota ndo kabisaa hana mpango makelele tu, tulianzisha ulinz shirikishi hatak tuchangie anasema ni serikali, hii serikal imetutelekeza yy angekaa na wananchi wa kimara na tukaweka...
Yaan naona ulichosema ni jambo la maana mkuu maana kuna vitu vingine mbunge haitaji support ya serikali zaid angeitisha mkutano.wa dharura na kuchimba mifumo ya maji na kutandaza bomba kwa kutushirikisha wananch, hata.hk kdg kinawashinda?? Maji yalikua yanaishia sehemu.moja wanaita vinane...
Radio haitii hofu ila wenye hofu ni ss km unaenda kinyume na hk lzm radio ikushtue maana inaweka waz yaliyo hakki bila kuuficha, hii ndo inapelekea wasiopenda kuambiwa ukweli kuichukia
kwa kwel umeongea maneno ya busara mno mkuu! wengi wanamshutumu hy baba wa watu bila ya kujua kiin ni nini? na mara zote ukitaka kutibu tatizo usideal na matokea tafuta chanzo ndo ufumbuz, kwa nini serikal iwasikilize tu BAKWATA? ilitakiwa pia ikae na ijaribu kuongea na kujua ponda hasa anataka...
naona una chuki ya dhahir dhid ya shujaa ponda! hapa ndo ujue ana thaman gan? tunamuona hana thaman machon ila aliyemuumba anaona ana thaman kubwa na atamlinda maana yupo ktk haki, huna ujasir alionao ponda hata chembe! na ndo maana hawez ogopa viumbe! msimamo wake anamuogopa aliyemuumba tu...
hii ni nchi ni ya wote na c jamii moja kuidhulum jamii nyingine kumuua au kumfunga ponda c ufumbuz, hilo kwa viongoz wa makanisa na ccm wanajidanganya na ni sumu mbaya wanaipanda ktk nchi hii yny kudanganya et ya aman ! ni ya aman kwa wagalatia na c kwa waislam wasiokuwa na thaman! Allah...
Haki ikidhihir uongo hujitenga tuzidi kuomba nusra ya Allah dhid ya madhalim wa uislam! ila kumbuken kuwa hakuna mtu alikua jeur na kibur kama firaun ila alikufa kifo cha kidhalili sana
hapa ulichokosea ni kwamba umeweka red alert kwa wezi, tena wizi wenyewe wake na waume za watu'?? wazee husema mke au mme wa mtu ni sumu! ila nnaamini wazoefu wapo jitokezeni bac!!:decision:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.