Kwa nini wakati wa 'kuibana' wanawake hujisahau kuliko wanaume??

Wanwake sio wanajisahau, ni njia tu ya kutaka kuhalalisha kuwa wanahaki kulio hata huyo mama mwenye nyumba yake. hujawahi sikia mtu anasema huyu ni mumewe wakati yeye ni hawala tuu. Wanawake ndoo zao, hata ukiwa na uhusiano mdogo tuu atakuita mumewe ila kama kuna mwingine amovertake. lakini huwezi kuona wanaume wanang'angania mwanamke!!.
 
Mwanamke akifumaniwa ndani ya nyumba ya mwanaume anauhakika anaweza akakingiwa kifua na huyo kipozeo chake, hata timbwili likitokea itakuwa tofauti . lakini kwa mwanaume utatafuta pa kupita
 
MWANAUME UKIKAMATWA SI WANA-KUTIGO [QUOTE=Kingcobra;1651145]Ndugu zangu,

Inasemekana kuwa ni rahisi sana kwa mwanaume aliyeoa kumshawishi hawala yake wafanyie mapenzi nyumbani kwa mwanaume kuliko mwanamke aliyeolewa kumshawishi hawala yake wafanyie mapenzi nyumbani kwa mwanamke. Inasemekana pia kwamba mwanamke akishawishika hujisahau kiasi cha kuvaa hata kanga na ndala za mke wa mwanaume na kutoka navyo nje asubuhi bila wasiwasi hatua ambayo ni ngumu sana kuifikia mwanaume. Eti wanaume wakati wote akili zao akili huwa zinawaza fumanizi.

Jamani, kuna ukweli wowote kuhusu hoja hii?[/QUOTE]
 
Ahahahaah! Sijawahi sikia hii, huenda kuna ukweli. Tusubiri wataalamu wa kuiba na waliowahi kushuhudia watupe uzoefu!
hapa ulichokosea ni kwamba umeweka red alert kwa wezi, tena wizi wenyewe wake na waume za watu'?? wazee husema mke au mme wa mtu ni sumu! ila nnaamini wazoefu wapo jitokezeni bac!!:decision:
 
Unacheza kweli wewe uje kitandani nakolala mimi??? Kafanyie uf***** na uj**** wako hukooooooooooooo kwenye magesti na mahoteli uje nyumbani kwangu kwanza utaanzaje??? He he hehe kweli kuna watu akili zao finyu ha?!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

mumeo akisafiri nakuja tunafanyia hapo hapo kwako na chai nakunywa+mkate na blueband na mayai juu
 
Aisee wenye ndoa mtapigwa vipapai humu ndani mpaka basi, sredi ya 4 hii naiona leo inazungumzia wenye ndoa
 
Ndugu zangu,

Inasemekana kuwa ni rahisi sana kwa mwanaume aliyeoa kumshawishi hawala yake wafanyie mapenzi nyumbani kwa mwanaume kuliko mwanamke aliyeolewa kumshawishi hawala yake wafanyie mapenzi nyumbani kwa mwanamke. Inasemekana pia kwamba mwanamke akishawishika hujisahau kiasi cha kuvaa hata kanga na ndala za mke wa mwanaume na kutoka navyo nje asubuhi bila wasiwasi hatua ambayo ni ngumu sana kuifikia mwanaume. Eti wanaume wakati wote akili zao akili huwa zinawaza fumanizi.

Jamani, kuna ukweli wowote kuhusu hoja hii?

1860632_f496.jpg

...acheni tu, haya mambo wala sio ya kuyachokonoa na kuyajadili mara kwa mara. Mungu apishilie mbali!
 
Napita tu................

Ila nimekutana na hii ya Dena..

'PILSNER: People In Love Should Not Enjoy Romance!!!!!!!!!!!!!!!'
 
Wanwake sio wanajisahau, ni njia tu ya kutaka kuhalalisha kuwa wanahaki kulio hata huyo mama mwenye nyumba yake. hujawahi sikia mtu anasema huyu ni mumewe wakati yeye ni hawala tuu. Wanawake ndoo zao, hata ukiwa na uhusiano mdogo tuu atakuita mumewe ila kama kuna mwingine amovertake. lakini huwezi kuona wanaume wanang'angania mwanamke!!.

This is too much pointing to she than he
 
Hivi inamaana kweli ninyi nyote mlochangia hakuna 'mwizi' hata mmoja!!!! Siamini!!!
 
Kutokana na uzoefu wangu na kutokana na ambacho nimeshakisema awali-'and when they dare, they dare for more', wao hupenda kujiachia zaidi kwa kuwa % kubwa ya maisha yao huendeshwa na hisia. Katika suala la mapenzi wanawake ni reactive ndio maana hujiachia hadi liwakumbe ndipo wajitetee. Wanaume ni proactive na ndio maana huchukua jukumu la kumshawishi mwanamke kimapenzi bila kujali kama kaolewa. Hutumia akili kufikiria 'what if'. Hao wanaume wanaobambwa si kama hawakufikiri kabla sema tu mahesabu siku hiyo yalikataa. Pia za mwizi ni 40!
 
Back
Top Bottom