Mkuu Wa Mkoa mheshimiwa Kafulila, kwanza hongera kwa kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu, hiyo ni heshima kubwa kwa kuwa wengi walistahili ila wewe neema imekudondokea.
Mkuu wangu umepewa jukumu kubwa kuuongoza mkoa huu hasa ikizingatiwa mtangulizi wako alifanya mambo makubwa kwenye sekta za...
Msamaha tutampa endapo atajiuzuru tu
Ninasababu nyingi za hill
Kwanza watu walimuona ni miongoni mwa watu wabaya
Pili ameonekana in mnafiki mkubwa sana
Tatu in kigeugeu mkubwa sana so hata uongozi mbaya ukiingia ataendana nao nirahisi kuumiza watu.
NNE ni MTU ambaye yukoradhi kukubali hats MTU...
Ngoja nikupe elimu kidogo.
Mganga hakusaidii kupata ajira au Mali Ila anaweka mkataba kati ya nafsi yako na majini bila kukuambia .jivyo ajira utapata ila utailipia siku usiyojua wala gharama usiyo ijua.
Nakuomba jaribu mambo mengi ila usijaribu kupoteza nafsi yako
Walikuwa na miujiza kama ya manabii ila kwa kuwa alizaliwa Afrika walimchukulia kama mchawi tu.mfano alinyoosha kidole kwenye miti ambayo hai na kukauka ili wake wake akate kuni.
Mengine kesho
Tumsifu yesu Kristu, bwana yesu asifiwe, iweeeeeeeee, asyalemu aleku.
Kwanza niwashukuru wadau wote kwa kuendelea kudumisha jukwaa letu la JamiiForums, kweli mnastahili sifa.
Ngoja nije kwenye mada je unajua majibu ya maisha yako, yako ndani mwako? Mungu alivyokuumba aliweka majibu ya riziki...
Ni rahisi sana
1 badilisha simu tumia CMU isiweza kuperuzi .ni ngumu ila ni dawa ya mwanzo.2 hakikisha unaishi na MTU unayemuheshimu inawezekana akawa mke au rafiki.3 Fanya shughuli nyingi na usiku lala mapema.4lazima uwe na mpenzi maana sex nibasic needs.5 weka negativity ya jambo hilo kwani...
Iko hivi mganga anajua mbinu za kuwasiliana na ulimwengu wa roho vizuri ila inawezekana hana baraka za kupata utajiri kwa masharti madogo .
Kumbuka nyota ikiwa nzuri mashartiyanakuwa madogo ila nyota ikiwa butu masharti yanakuwa magumu.
Ulimwengu wa roho ni pale mwili unapokutana na nafsi au roho ambayo haina mwili.
Ni mawasiliano kati ya MTU halisi na viumbe au kiumbe ambacho hakija vaa mwili.
Kesho nitatoa somo usikose
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.