Recent content by boma2000

  1. boma2000

    Humphrey Polepole ajibu mapigo baada ya Samia Suluhu Hassan kuchukua fomu ya urais 09 agosti 2025

    Siasa ndiyo politics nakumbuka kina Aristotle, Plato, Cicero na wengineo
  2. boma2000

    GE2025 Madeleka: Wanaosema watazuia uchaguzi ni matapeli kama matapeli wengine

    Katika Nchi ya demokrasia Kila chama kila sera zake na mtazamo wako kwa masuala mbalimbali ya kisiasa. Ni lazima mtazamo wao uheshimiwe. Chama cha kisiasa na viongozi wao ambao wanadhani kila chama na kila raia anawajibu wa kuwaunga Mkono basi hai viongozi ni wendawazimu na hicho chama ni cha...
  3. boma2000

    PreGE2025 Uhasama wa kisiasa Milllard Ayo apoteza wafuasi laki tatu ndani ya masaa 12

    Chadema ni chama cha madikteta na a kisicho cha demokrasia maana wao wanataka kila Mtanzania afuate sera zao na mtazamo wao. MTANZANIA ambaye hawaungi Mkojo wanamfanya ADUI YAO. Hiyo ni dalili halisi ya chama kisicho na demokrasia na kilichojaa udikiteta. Ni hatari sana kwa hiki chama kuongoza...
  4. boma2000

    Samia katika hotuba yake, amepuuza madai ya CHADEMA, maoni ya Kanisa katoliki na ushauri wa PM mstaafu jaji Joseph Warioba. Tunatokaje hapa?

    RAIS Samia ametumia busara, anaangalia 'big picture' kwa manufaa mapana ya Watanzania wote wapenda Nchi na amani kwa ujumla wake, si kwa wapenda mlengo wa chama chao.
  5. boma2000

    Polisi Arusha: Ni kweli tunawashikilia Wachokonozi kwa makosa mbalimbali

    SAWA Chadema susieni, wengine ambao ndiyo wengi watashiriki kwenye uchaguzi, hiyo ndiyo demokrasia. Maana huwezi kulazimisha sera yako ndiyo utumike kwa Wengine ambao hawafuati mlengo wako wa siasa.
  6. boma2000

    Fundi simu hapa uliza chochote

    Namba yako ya simu
  7. boma2000

    Hivi kwanini tusianzishe kampeni ya Boycott dhidi ya wanamuunga mkono Samia?

    Hivi wewe ni mtu unaependa na kuhubiri demokrasia au dikteta wa demokrasia
  8. boma2000

    Kampeni maalumu ya kuwakataa Machawa wote JF

    Chawa wapo kwenye kila chama cha siasa, kwenye makampuni, kila sector. Unataka chawa wa chama gani, au sector ipi au taasisi zipi, au chawa wa Nchi ipi au kiongozi wa chama kipi cha siasa
Back
Top Bottom