Katika Nchi ya demokrasia Kila chama kila sera zake na mtazamo wako kwa masuala mbalimbali ya kisiasa. Ni lazima mtazamo wao uheshimiwe. Chama cha kisiasa na viongozi wao ambao wanadhani kila chama na kila raia anawajibu wa kuwaunga Mkono basi hai viongozi ni wendawazimu na hicho chama ni cha...
Chadema ni chama cha madikteta na a kisicho cha demokrasia maana wao wanataka kila Mtanzania afuate sera zao na mtazamo wao. MTANZANIA ambaye hawaungi Mkojo wanamfanya ADUI YAO. Hiyo ni dalili halisi ya chama kisicho na demokrasia na kilichojaa udikiteta. Ni hatari sana kwa hiki chama kuongoza...
RAIS Samia ametumia busara, anaangalia 'big picture' kwa manufaa mapana ya Watanzania wote wapenda Nchi na amani kwa ujumla wake, si kwa wapenda mlengo wa chama chao.
SAWA Chadema susieni, wengine ambao ndiyo wengi watashiriki kwenye uchaguzi, hiyo ndiyo demokrasia. Maana huwezi kulazimisha sera yako ndiyo utumike kwa Wengine ambao hawafuati mlengo wako wa siasa.
Chawa wapo kwenye kila chama cha siasa, kwenye makampuni, kila sector. Unataka chawa wa chama gani, au sector ipi au taasisi zipi, au chawa wa Nchi ipi au kiongozi wa chama kipi cha siasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.